Cjapenda sana jinsi hoja yako ulivyo ielezea inaonesha hufaamu kazi ya vyombo vya habari..tatizo hapo ni vyama na watu wake na co hizo taasis ulizotaja.plz tupe kitu chenye mantiki na co kuleta hoja zenye dalili ya chuki fulani rohoni na akilini mwako
Co kweli kama web yao iko busy,inafunguka lakini no selections relesed,wana maelezo tu ya jinsi gani ya kuomba kwa mara ya pili na hapo wametoa koz ambazo zimemis watu hivyo watakao omba kwa awamu ya pili waangalie hapo ili wafahamu uhitaji..katika kila chuo..lini watatoa,omba mungu wanataka...
Kwa kweli imekua kero..itakuaje kwa muombaji aleyekua mbali na mji alafu akakosa selection huku wao wameweka mwisho wa kuomba kwa mara ya pili ni 22 agust.na leo ni 12 agust..kwa kweli ni kero.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.