Kuweka huduma kama hio maana yake tayari serikali imeshaweka macho yake hapo,kodi,sheria pamoja na ukiritimba wake,hicho kitu ndio ambacho watu hawataki maana kwanza inachelewesha,pili inakufanya umulikwe zaidi,(TRA,Polisi,Benki nk)tatu lazima mgawane na serikali,hii kitu kwa baadhi ya biashara...
Asante sana mkuu kwa kuitikia wito huu,nimekutafuta kwa muda sana,hatimaye umepatikana,Kwahio mkuu tutegemee kuanzia lini maana tumesubiri kwa miaka miwili na zaidi?
Tunasubiri kwa hamu sana hizo nondo.
Asante kwa hili,Pia Mheshimiwa angalieni wamiliki wa vyombo vya usafiri hasa Mabasi ya kwenda Mikoani,humo zinawekwa movie ambazo hazina maadili au haziruhusu watoto kuangalia na hasa ukizingatia kuna watoto mle,pia nyimbo hasa za video nazo nyingi kwa watoto sio nzuri,Nadhani tafuteni muda nao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.