Shirika la ndege la ATC naona limeanza safari za nje. Hii ni hatua nzuri sana lakini wasiwasi wangu ninasita kuamini kwamba wataweza kumudu route za kimataifa.
Moja ya changamoto za route za kimataifa hazihitaji kuahirisha safari wala kuchelewesha. Hiyo inaweza kupelekea kukumbana na penalty...
Wakuu Huyu Ni Mwanamitindo Maarufu Wa Tz Anaeishi Nchini Marekani Anaeitwa Naomi Magese, Usiku Wa Leo Ametupia Picha Yake Ya Nchi Kwenye Instagram na Kuandika Maneno Yafuatayo, Nanukuu..... Yeah...... and this is life..... do whatever makes you happy...Super sexy #Mood Naomi feeling so free. My...
Wakuu Habari Ya Uzima, Nina Wazo Moja, Tanzania na Dar es Salaam Hatuna Ukumbi Mkubwa Wa Kufanyia Matamasha Makubwa Hasa Burudani Mbali Mbali Kuchukua Nafasi Ya Leaders Club.
.
Sasa Wadau wa Burudani na Sanaa wakiongozwa na BASATA Ikiwapendeza kwa Nn wasikae na Serikali uwapatie eneo popote...
Wakuu Habari Ya Uzima, Nina Wazo Moja, Tanzania na Dar es Salaam Hatuna Ukumbi Mkubwa Wa Kufanyia Matamasha Makubwa Hasa Burudani Mbali Mbali Kuchukua Nafasi Ya Leaders Club.
.
Sasa Wadau wa Burudani na Sanaa wakiongozwa na BASATA Ikiwapendeza kwa Nn wasikae na Serikali uwapatie eneo popote...
Wakuu Habari Ya Malaro,
Hivi kwa mtazamo wenu,
1. Kwanini tunafanya UMITASHUMTA?
2. Hawa washindi wa mashindano haya huwa wanakwenda wpi?
3. Hii michezo faida yake ni nini haswa ikishafungwa? Au tunakutana tena mwakani kufanya mingine?!
4. Mfano, mazao ya michezo hii kwa miaka saba mpaka sasa...
Koffi Olomide Amefutiwa matamasha yake Mawili Nchini Afrika Kusini kwa Sababu ya vitendo Vya ubakaji, niseme tu kwamba Papaa Mopao, kiukweli huyu jamaa anastahili sifa zake.
Toka nimeanza kuifahamu albamu yake Maggie na kundi la Quartier Latin enzi nikiwa nimeanza shule ya msingi mpaka leo hii...
Wakuu Habari Jumapili, Hivi Aliemwambia HamisaMobetto Kwamba Na Yeye Anajua Kuimba Ni NAni Au Kwa Kuwa Ana Sauti Ya Kuongea Na Watu Nae Akajua Ana Sauti Ya Kuimba?
Kesi Ilienda Exparte Against Respondent Huko Subornate Court, Sasa Applicant akapigwa Kule District Court Na Ameappeal HC, Na Respondent Amekuwa saved na Hyo Appeal, Je Respondent anaweza aka-appear kwenye Audience in order to defend au Atafanyaje?
MWALIKO WA FUTARI!!*
Tukiwa katika kuadhimisha kumi la mwisho la mfungo wa mwezi mtukufu wa *Ramadhan* natumia fursa hii kukualika wewe ndugu, jamaa na rafiki yangu wa karibu kuhudhuria dhifa ya *futari* siku ya Jumanne tarehe 04/06/2019 katika ukumbi wa *HOTREEF HOTEL* ulioko Kata ya Kipawa...
MWALIKO WA FUTARI!!*
Tukiwa katika kuadhimisha kumi la mwisho la mfungo wa mwezi mtukufu wa *Ramadhan* natumia fursa hii kukualika wewe ndugu, jamaa na rafiki yangu wa karibu kuhudhuria dhifa ya *futari* siku ya Jumanne tarehe 04/06/2019 katika ukumbi wa *HOTREEF HOTEL* ulioko Kata ya Kipawa...
MWALIKO WA FUTARI!!*
Tukiwa katika kuadhimisha kumi la mwisho la mfungo wa mwezi mtukufu wa *Ramadhan* natumia fursa hii kukualika wewe ndugu, jamaa na rafiki yangu wa karibu kuhudhuria dhifa ya *futari* siku ya Jumanne tarehe 04/06/2019 katika ukumbi wa *HOTREEF HOTEL* ulioko Kata ya Kipawa...
What is new in Civil Procedure Code (Amendment of the First Schedule) Rules 2019?
1) Electronic filing of Plaint, WSD, service (Order IV (1), electronic assignment of matters to judges.
2) Summons to be issued by the judge within 14 days, (amendment of order V),
3) Substitute service to include...
Wapenzi wa Soka mliopo nyumbani na wenye visimbuzi vya Azam Tv unaweza ukaweka MUTV Channel 404 ukajionea mechi ya kumbukumbu ya miaka 20 tangu Manchester United walipotwaa TREBLE!! Kuna wachezaji bado wana uwezo mkubwa sana!!
Ngoja Niliweke Hili Jambo Vizur
Huko mwanzo Uvccm hakukuwa na Tatizo. UVCCM ya Wale Walioko Bungeni Wale Wawili Wale Na Hawa Wengine Marc, Na Makatibu Wa Ccm ndio imeharibu kabisa heshima na hadhi ya UVCCM ndani na nje ya CCM.
.....
Walikuwa na management and leadership gaps nyingi sana lakini...
KUHUSU PURPOTEDLY "VIDEO CHAFU" YA GWAJIMA
Kuna video inasambaa kwenye mitandao ya kijamii ambayo watu wanasema ni ya Gwajima. Nilikuwa ofisini leo, rafiki yangu akaja na kusema, "Umeona Gwajima alichofanya?"
Nimeiangalia ile video lkn kwa sekunde chache tu nimegundua kuwa ni "fake video." So...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.