Habari zenu wana chit chat.
I hope wote ni wazima na mnaendelea vema na ujenzi wa taifa letu.
Kutokana na sababu zilizokuwa nje ya uwezo wangu ilinipasa kupotea kwa muda lakini sasa nimerudi kujumuika nanyi wote.
Niliwamiss sana nyote
Baada ya kufunguka kwa mambo mengi nimetamani na mimi niweke input yangu juu ya baadhi ya viongozi kuhusu uozo wao na mambo yao wanayofanya ambayo bado ni siri kubwa.
But time will tell, bigger things are coming just wait a little longer guys.
Nimeingia leo nimekutana na hii habari. Ni njema sana na ninapenda kusema kuwa nitakuwepo pamoja na wataokuwepo.,
Kama inawezekana wahusika wakuu watoe updates na kwenye email incase uwezo wa kuingia humu utakosekana kwa wengine.
Ahsanteni sana
kaby,
This is my first year since i have been in jf.Namshukuru Mungu kwa ushauri na challenges nyingi nilizizopata,ambazo zimenisaidia sana na ninashukuru kwa marafiki niliowapata hapa ambao wamekua kama familia na ndugu zangu. Japo Nimekuwa busy sana na mambo ya kujenga taifa letu lakini sijawasahau...
Mdada mmoja alipoteza pochi yake kwenye daladala! Jamaa mmoja muaminifu akamtafuta mpaka akampata! Yule dada alishukuru kila kitu kilikuwemo kasoro moja tu
MDADA; huku kulikuwa na laki,lakini noti zote za kumi kumi,lakini sasa noti ni za mbilimbili
JAMAA;ni kweli,mara ya mwisho nilipookota...
Jamaa mmoja mgönjwa alienda kwa daktari akaweka kikaratasi kwenye meza kilichoandikwa siwezi kuongea.Daktari akamwambia aweke dole gumba juu ya meza.Jamaa akajua ndo maelekezo ya vipimo!
Daktari akachukua kitabu kizito na kumpiga nacho yule jamaa kwenye dole gumba.
Jamaa akapiga kelele...
Jamani hii baridi ya arachuga kama washingtown vile!Blanketi halitoshi jamani
Natafuta mchuchu wa kunilea kwa muda huu! PM zote zitajibiwa! Vigezo na masharti kuzingatiwa!
Ndugu zangu wanajf,naomba niwasilishe hili ombi kwenu.Naombeni hili neno 'i love u' lisitumike humu kwenye hili jukwaa kama siku 3 tu. Wengine linaturemind mambo ambayo hayatakiwi kuremindiwa.
Ahsanteni,
Kuna mtu kanikera kweli na nimemsaka kote nimemkosa sasa i know kwa hapa ujumbe utamfikia.
Ulipendwa ukaringa,ukanianza upya baada ya kukutupulia mbali. Okay sasa baada ya kuona nimemove on ni nini unataka eeh?
What you did last night you know where,has put you in awkward position with me,and...
I love you honey
Believe me this is true
I dont need cars or money
Because all i want is you
You wipe away the tears i cry
You fill my face with a smile
I promise never to say goodbye
And make you happy forever not for a while
You are a beautiful gift sent to me by God
The one i...
Wakuu habarini za jioni?
Mimi nina swali ambalo linanitatiza kiasi flani labda wenzangu mshalitatua.
Kuna hili tangazo la simu ya vodacom ambayo inauzwa shilingi 149,999!Je hii hela ipo? Na utaipataje kama ipo?
Nawasilisha.
Eti Sina Hela amekufa, mbona mimi namjua na ni ndugu yangu wa damu niko nae hapa?
Eti Sina Hela kapotea, jamani hajapotea nasema ninaishi nae karibu sana
Je wewe unamjua?
He's like pain in the as*
He's only been a curse
He's made my life worse
Now i'm looking for a better nurse
He's brought me so much pain
He's taken away my sun and brought me rain
He's made me go insane
Now am no longer sure i can love again
Just like a wind he went away
He didnt...
Now as i sit up on my bed
An image of you is in my head
You give me a reason to live
Without you the happiness i will never achieve
The way you kiss,your touch is soft and devine
I want you to forever be mine
Infront of everyone here my love i declare
To hurt you i will never dare...
Watoto wa siku hizi waliozaliwa kipindi cha jakaya wenyewe wamejikita kwenye bongo fleva za akina diamond na ali kiba. Sidhani kama wanapata ladha tulioipata sisi
Nakumbuka mimbo tuliyokuwa tunaimba tukiwa watoto halafu natabasamu mwenyewe Kama huu
sandakalawe amina,mwenye kupata...
Nilikutana na huyu kaka mwaka 2007 kwenye harusi ya dada wa rafiki yangu.Huyu rafiki yangu ni kipenzi sana na amekuwa kama ndugu yangu,.
Hiyo harusi nakumbuka ukumbi ulikuwa ni pale msasani. Tulipotoka huyu mkaka nampa jina la Y akasema twende tukapate vinywaji sehemu nyingine na kweli tukatoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.