Hili tatizo la nguvu za kiume linakuzwa kuliko uhalisia wake ,siku hizi kuna tatizo kubwa la hormones imbalance kwa wanawake ambalo linapelekea wao kukosa hisia au kuchelewa sana kufika kileleni na mbaya zaidi wao hawalijui hilo ,kwa kawàida mwanamke ambae yuko sexually active anaweza kufika...
Huku mitandaoni kumejaa maigizo,mtumishi anaelipwa take home ya mil moja na nusu huyo ni tajiri watumishi wengi mishahara ni chini ya laki 7na wanajenga
Acheni mbwembwe ni watumishi wangapi wanaolipwa take home ya kuzidi milioni moja nchi hii ,hawazidi asilimia 10 na bado wanajenga mfano mwalimu wa certificate akikaa kazìni around five years ana take home kama ĺaki 5 hivi na mbona wamejenga
GNP ni pato linalozalishwa ndani ya nchi na raia wa hiyo nchi pamoja na raia wake waishio nje yaani diaspora and does not include any ìnvestment made by foreign companies or individuals within country ,ihope ulimaanisha hivyo mkuu
GDP ni lile pato la jumla katika shughuli zote za uzalishaji kwa mwaka ,mfano mishahara wanayopata watumishi, mapato wanayopata wakulima,wavuvi,wachimbaji,wafanyabiashara nakadhalika
GDP ni lile pato la jumla la mwaka linalozalishwa ndani ya nchi na wananchi wa hio nchi na wageni,GNP ni pato linalozalishwa na wananchi husika tu waliopo ndani na diaspora
[emoji23][emoji23]nimeshangaa sana wanawake wasiku iz bwana,mara nyingi kutopenda sex sio ishara nzuri kiafya unaweza kuta homorne imbalance inamnyemelea ye hashtuki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.