Poleni walimu, viongzi wote wa TYCS na wanafunzi wote shuleni mwakaleli kwa kumpoteza mwanafunzi mwezetu Raphael Mathias, mwenyekiti sherehe mstaafu, Mungu aiweke roho yake mahala pema peponi Amina. kwa niaba ya viongozi wastaafu 2009-2010.
[B]Poleni walimu, viongzi wote wa TYCS na wanafunzi wote shuleni mwakaleli kwa kumpoteza mwanafunzi mwezetu Raphael Mathias, mwenyekiti sherehe mstaafu, Mungu aiweke roho yake mahala peponi Amina. kwa niaba ya viongozi wastaafu 2009-2010 shuleni mwakaleli.
Mfa maji haachi kutapatapa, badala ya kuondoa tatizo unakimbia huko NCCR ndo utaweza????????????? Huna lolote na unaonekana hujiamini................. waache wanaume wachape kazi, ukabila na udini Tanzania haina labda uanzishe wewe na post zako za ajabu....
Mda mfupi uliopita, nimepokea simu kutoka kwa wadau kwamba TCU wametoa majibu, lakini kinachoniumiza mpaka sasa nafungua website ya TCU ipo busy, je ni kweli jamani tetesi hizi?
Vyama vya siasa vijifunze kutafuta watu waaminifu, na wenye uzalendo wa kweli, watu kama hawa wanaweza kushusha sifa ya chama kwa kutokuwa wavumili katika harakati!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.