Ushauri mbovu haujawahi kutokea.
Huyu mtu kwa dini yake ni Mkristo, na wanakawaida ya kusali ili kumuombea marehemu apokelewe huko kwa Mungu, badala ya kushauri hivyo unataka akaushwe kama ndafu??
Ukipata taarifa za mtu aliyekosa kukuua mara kadhaa, haiwezi kuwa habari ya huzuni bali ni HABARI NJEMA.
Lisu naye ni binadamu kama ulivyo wewe, tena sikuwahi kukusikia ukinena mema juu ya IDD AMIN DADA wa Uganda, na hapo napata mashaka juu ya uwezo wako wa kufikiri
Sijawahi kuona mtu mwenye akili timamu anapima ndege, mbuzi, mafenesi nk kama yana magonjwa isipokuwa mtu huyo dishi litakuwa limeyumba, yaani akili zimefyatuka
Kuna watu humu nchini ni wapumbavu kidogo.
Kwamba ukiwa kiongozi unaweza kuamua na kusema lolote bila kufuata sheria yoyote ili mtu yoyote alazimike kuitii hii amuri bila shuruti.
Mwigulu anaonekana hayuko sawa kichwani.
Watu wanakufa bila kelele na hakuna ruhusa ya kusema sababu ya kifo...
Si kazi yako kujua umri wangu, zingatia ushauri kwa sababu ya HEKIMA iliyomo ndani yake.
Hakuna sababu ya kuthibitisha jambo lililo wazi kwa kiasi kikubwa hivyo.
Wala mwenye macho haambiwi TAZAMA
Ni ushauri mzuri sana hasa wakati huu taifa likiwa kwenye sintofahamu ya uchaguzi 2020.
Ni kweli CHADEMA walizikataa fedha za wizi, kuzipokea ni kushiriki wizi wa CCM.
Nawashauri wana CCM vile vile wazikatae kwa sababu wao hawakuwa na utamaduni wa wizi wa aina hii wakati wa uchaguzi, na pia...
Kuwa mzalendo kadiri ninavyojua mimi ni kuipenda nchi yako.
Watanzania walio wengi wanaipenda nchi yao kwa sababu wanaumia moyoni wanapoona mawazo yao hayathaminiwi, wanatishwa na wanadhulumiwa haki yao ya kuchagua viongozi wao na pia kuchaguliwa kutumikia taifa lao.
Badala yake wanafungwa...
Huu ndiyo ukweli. Tusidanganyane, mfalme yu uchi, hakubaliki na udhaifu wake unaonekana na kila mtu.
Hayupo asiyejua kwamba uchaguzi wa mwaka jana haukuwa uchaguzi bali ni UCHAFUZI
Habari yafo mmeku?
Kumbe kwafo ni Usseri vaita?
Lakini usijali, hata wasipotangaza Moshi kuwa jiji, rais ajae ambae hatakuwa m baguzi na mkabila atatangaza tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.