Mzani bomba kwa ajili ya biashara(duka, bucha, jiko n.k) unauzwa..umegongwa muhuri wa mwaka mzima, unapatikana na jiwe la kilo 2,kilo 1,nusu na robo...mpya dukani ni 120,000 mimi nauza Tsh 70000 tu.
Unapatikana Dar es Salaaam
0759853116
"SIKU NIKIFA" Utatoa machozi lakin sitayaona, Utaniletea maua lakin sitayapokea, Utanisifia sana lakin sitakusikia, Utanisamehe makosa yng lakin sitajua, Utanimiss sana lakini sitafahamu, na Utauzunika sana lakini sitokuona..
Tupendane sasa chuki sio wapendwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.