wadau me naona huu mpango uko sawa kabisa na vyuo vingine vichukue hatua hao wanaoleta ubishi wakatafute vyuo wanavyosoma uchi darasani!! inasikitisha sana mtu anavaa vazi la ufukweni darasani.......unamwonesha nani nguo zako za ndani??? huo ni upuuzi mtupu unaingia darasani watu...
duuu! hii ndo bongo land kila kitu magumashi jamani mlio huko
jikoni hebu kesho mtie timu bodi ya mikopo mpaka kieleweke wakubwa labda watasikia kilio chetu inauma sana kama tume iliyo teuliwa na mjomba inakuja na ishu mbovu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.