Leo ni siku ya nane hakuna maji Kahama kwa sababu TANESCO wamewakatia umeme, sisi wananchi tunalipa bili kwa wakati na usipolipa unakatiwa maji hivi hela zetu zinaenda wapi? Kama wangetenga kila mwezi walipe hata milioni 10 TANESCO sidhani kama wangekatiwa umeme.
Hali ya vyoo hasa mahospitali...
Kabsaa coz umebase kumfukuza kazi au kumsimamisha lakin changamoto za kazi hutatui watendaji wa kata na vijiji hawana ofisi wala nyumba za kuishi na mengineyo ni bora wakawasikiliza na wao kabla ya kumtimua kazi
Kwanza mm sioni kazi ya hivi vyama now nipo kazin 3yrs sijajiunga zaidi ya kupiga hela tu but naongelea watendaji wa kata na vijiji waliowekwa ndani jana kwa kosa la wakala kupandisha bei ya pembejeo za kilimo tofauti na bei elekezi
Nenda tamisemi ukaulize taratibu zao au mtaftie nafasi hapo dar maana anareasonable reason ya kuhama utapata shortcuts kwa uongoz wa magu mtasubri sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.