Sheria ipo wazi kabisa kwa mfanyabiashara siweza kitunza kumbukumbu basi kima cha chini kwa mara ya pili ni 100,000 kama ulivyoshauriwa kuwa na daftari andika mauzo yako ya kila siku. Weka kumbukumbu za matumizi. Ili utoke kwenye kundi la wasiotunza kumbukumbu na utakadiriwa kulingana na mapato...
Kwa maoni yangu naona jambo hili liko hivi, kipindi cha nyuma vitambulisho vya kupigia kura vilikuwa ni official Id yani kila sehemu lazima utaulizwa kitambulisho cha kura. Kwa sasa kuna kitambulisho cha Taifa hivyo watu hawaoni tena umuhimu wa kuwa na kitambulisho cha kupiga kura. RAI yangu...
Kwa kweli sijaingusha labda niseme misukosuko ya kwenye mifuko lakini niitumia vizuri asubuhi then nikaiweka mezani nilipokuja kuiwasha ndo ikagoma baada ya kugogle nikawa najaribu kuiwasha then ikawaka ilipozima kwenda kwenye sleep mode haikuwaka tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
kwenye google kuna maelezo ya kushika kitufe power on na volume kwa pamoja ukifanya hivyo kwa kujaribu jaribu inawaka ila baada ya muda inagoma tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wataalam mje kutoa msaada hapa.
Simu yangu Samsung S6 Edge imegoma kudisplay yaani ipo on lakini kioo kinaonyesha giza. ukipiga inaita kama kawaida tatizo ni nini na suluhisho ni lipi?
Nimejaribu kugoogle na kujaribu njia zote sijafanikiwa.
Naomba mawazo yenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Gazeti la Mwananchi kuna kitu wanakitafuta!!!!!!! Hizi habari za kauli za watu hazitaliacha salama!!!!! Ngoja tuone waendelee kuandika habari za kauli za viongozi muda utasema!!!!!
Nawakumbusha tu tuendelee kutoa michango yetu kwa ajili ya wahanga. Mwenye account maalumu ya kutuma fedha aweke hapa watu tuchangie. Mnara wa kumbukumbu pamoja na ukuta kuzunguka makaburi ni moja ya hitajio. Tujitokeze kwa wingi.
Hichi ndicho kizazi kipya cha Lumumba!!!!!!!!!!!! Hawaoni wala Hawasikiii wao bora aandike Posti tu siku iishe haya endelea kusoma comment za watu hayo ndo malipo yako hapa JF japo sijui Lumumba watakupa nini!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.