Write your reply...cha ajabu guide book iko kwenye bango LA tcu toka July mwaka uhuu but wanafunzi wako bize na Facebook. Hakuna kitu muhimu kama kujitambua... Ukijambua utashinda
Write your reply...uyo dogo bado yuko kwenye puberty stage nini.. Level aliyofikia ni kuangalia kipi bora kwa maisha Yake ya badae mambo ya kuangalia classmates wako wapi uo ni upambavu wa Hali ya juu Naomb umpe bakora za kutosha kama kaka mtu maana bado ajitambui
Write your reply...nit uwezi kwenda km ujapitia Shule za veta kumbuka pale unaenda kuongeza madaraja unless awe na daraja d Tayar na Uwe na uzoefu I mean unaweza kuendesha vizur sio unaenda kujifunza awakuchukui
Write your reply...aende veta dar es salaam full course mwez mmoja tu ila awe na daraja d ili aweze Pata daraja e LA malori kuna magari ya kutosha atafanikisha ndoto Zake chuo Chao kiko buza yombo na ofisi zao ziko changombe utanisamehe kwa uandishi wangu simu aiko saw
Write your reply...sio peke ake tu wote wa multiple admission Walio fanya confirmation majina yao yapo kwenye mchakato tcu after 2 or 3 days watatoa Tena majina ko awe mpole tu profile Kalbu Zote ziko ivo
Message…napenda kujua kinaendelea nini mpaka muda uhuu kwa wale WA multiple Walio fanya confirmation Tayar na ambao wamewasiliana na vyuo husika. Mana udahili awamu ya pili umefungulia ila hatima ya wale WA multiple mpaka Sasa awajulikani wapo kundi gani either first batch au laah kuna baadhi...
Write your reply...hahhaa Abu absolutely kwel br.. Unajua form 6 wanapewa kipaumbele Sana wanasahau kuwa mtu WA diploma anakuwa more competent kuliko Ata awa wa three za 12 sijui tatzo bongo tusha kalili kuwa elimu ni lazima uanze vidudu mpk LA saba.. Elimu ya secondary ndo form 5 na 6 afu ndo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.