Hiki ni kilio cha muda mrefu cha mawakala hawa waliosambaza pembejeo za ruzuku mwaka 2015.nashindwa kuelewa ni kwa nn serikali inawafanyia uonezi wa namna hivi.na kama inaona **** udanganyifu ulifanyika kwa baadhi ya mawakala basi iwalipe wale wanaostahili.hawa watu wanateseka sana.namuomba...
Ninafuraha sana ndugu wana bodi kujiunga leo na jukwaa hilo.naombeni ushirikiano wenu akina mshana,demiss.shukrani zimwendee MTU mmoja nisiyefamiana kwa kunisaidia sana nimemsumbua usiku kwa kumpigia sm usiku wa SAA NNE kisha na Leo asubuhi nimempigia tena heshima kwake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.