Ndugu zangu kuna jamaa nawaulizia humu sijawaona kabisa sijui wako wapi tena kina Rejao,Nape na wengine waliokuwa wanamshabikia marehemu ccm wako wapi?na je nabii Frora vipi hatoi unabii mwingine? nawasilisha msaada tafadhali
Katika hali isiyo ya kawaida polisi wametumia nguvu kubwa kuwafukuza wananchi waliokuwa wakiandamana kupinga rushwa zilizokuwa zikitolewa na wana ccm ktk ukumbi fulani ambapo waliwakusanya wakinamama na kuanza kuwagawia hela lakini mama mmoja alichukua hatua ya kuwapigia viongozi wa chadema na...
mimi sijaelewa kabisa nilipoona tbc nilishangaa sana hivi huu ni mkutano wa mjumbe wa serikali ya mtaa au kwani hakuna watu kabisa ila kama sivyo basi tuseme ccm yafunikwa
Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake libarikiwe,hii ni safari ya kila binadamu ila tunatofautiana njia za kuondokeajia,ila njia alioondokea dada yangu inaumiza sana lakini basi
Doctor WILBROD SLAA kesho anatarajiwa kuwasili ktk mkoa wa mbeya ni kwa ajali ya kuja kuwashukuru watu wa nzovwe na mbeya vijijni kwa jinsi walivyoonyesha moyo wao wa kuiamini chadema;ikumbukwe kuwa kata ya nzovwe ilikuwa ikishikiliwa na chadema na diwani wake kujiudhuru lakini licha ya yote...
Ni muda umepita tangu uchaguzi wa igunga umalizike,kuna huyu jamaa anaeitwa mwigulu nchemba alikuwa anagawa hela siku ya uchaguzi,tulipo pewa habari tulianza safari ya kufuatilia kwenye kata ya bukoko tulipofika tukaambiwa alikuwepo ila tayari kaelekea kijiji cha simbo tulipowapigia takukuru...
Ni siku chache zimepita tangu uchaguzi wa igunga umalizike ambapo ccm ilitangazwa kuwa mshindi wa kinyang,anyilo hicho huyu jamaa alionekana akigawa sana hela na ndipo nikajiuliza je huyu ndio mtu anaevaa skafu za taifa akidai ni utaifa
Hongera sana arusha kwa ushujaa na uhodari wa kuweza kuwakataa wale wote wanaokuwa wasaliti hilo ni fundisho kwa wote wabaya na kiukweli ingekuwa uyema kama wangepewa kichapo cha maana ili wakauguze vidonda hospitali
Chama makini na chenye watu makini ndio hufanya maamuzi makini kama chadema na ni ngumu sana kwa chama kama magamba kufanya maamuzi magumu kama haya ya chadema kwa kuwa kama magamba watachukua maamuzi magumu ina maana kuwa hakutakuwa hata na rais kwani hata yeye yupo ktk wale watu waliodaiwa...
Hongera sana kamati kuu kwa maamuzi ambayo wananchi wote wapenda mabadiliko
tulikuwa tukiyatazamia,ushauri wangu kwa viongozi wangu wapendwa wa kamati kuu ni kuwa ni heli tubaki na madiwani kumi ambao watatetea ukweli na sio mamia wasaliti kama wa arusha,hiyo ni picha tosha kwa magamba kwamba...
Mimi nafikiri kuwa watanzania tunatakiwa tuchukue hatua kwa hili kwani kila mtu anafanya anavyotaka,ni kwa nini sisi wote tusiungane kwa maandamano hata njia zingine tudai uhuru wetu ili viongozi wawe na uoga wanapotaka kutusaliti.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.