Jamani msaada wenu wana jf kwa anayefahamu jinsi ya kuhama chuo. Mim ni mwanafunz Wa UDOM mwaka Wa kwanza nataka kuhamia mwl nyerere, Sababu kuu ya kuhama Mama yangu ni mgonjwa sana nahitaji kuwa naye karibu coz hakuna mtu wa kumhudimia nyumbani, je kuhama kwa semista ya kwanza inawezekana au...
Habari zenu wana jf mm Nina Mdgo wangu amechaguliwa Udom bachelor of Education in Early childhood, naomba ufafanuzi kwa anayeifahamu vizuri hii coz kuhusu ajira zake na changamoto zake pia na je ni kozi nzurii ya kusoma?
au akifika chuoni abadilishe tu asome coz nyingine...???? Asanteniii....!
Habari zenu wana jf naombeni ushauri Wa kozi hii ya Records management. nimechaguliwa coz ya recods katika chuo cha utumishi Wa umma ngazi ya degree kwa anayeifahamu naomba anielezea upatikanaji wake Wa ajira upoje na changamoto zake, je ni kozi nzurii ya kusoma au la?
Jamani ushaurii wenu mm nimechaguliwa vyuo viwili tofauti na coz tofauti, nmechaguliwa chuo cha utumishi Wa umma coz ya records management pia nmechaguliwa Nit coz ya logistics and transportation. Naombeni ushaurii wenu nichague coz gani ya kwenda kusoma kati ya hizo na ni coz IPI ambayo angalau...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.