Shida zina tabia ya kurudi,umeisha jua ni mtu wa aina gani..as long as ulijionea hali ya mtoto,ukajitoa basi moyo wako uwe mweupe na achana nae. Ingekuwa kakupiga hela hapo ningekushauri aitapike.
Ndugu hizo tabia za kizungu kizungu zitakuumiza. Unamika mingapi?Ni ke wewe?Chukua likizo kakae na wazazi wako upumzike. Sasa we acha tu hiyo kazi uje ukumbane na moto wa mtaani,utawehuka nakwambia.
Bora wewe,me kuna siku nimekaa saa nzima na mbele yangu walikuwa watu wanne tu kwenye foleni. Nadhani moja ya sbb wafanyakazi wao ni wazee,hawana kasi kbs.
Hiyo ya kudumbukiza,2hp ni inch ngapi na inapandisha mita ngapi kwa kispma cha mita 100 chini??Gurantee mda gani?Ufanisi wake kwenye mikoa ya mvua/baridi ukoje maana jua wkt mwingine ni adimu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.