Hii ni kwa wale wanaopenda Kuagiza Gari kutoka nje kutumia mawakala wenye "Exposure" ya kutosha na Uaminifu ktk Mchakato mzima wa Kuagiza na kukabidhiwa Gari. Tumeanza May, 2017 na tunaendelea, changamoto zimetuimarisha na tunasonga mbele kwa ushindi na maarifa zaidi... Bei halisi na nafuu...
Wewe ni Muongo....biashara ya IMPORT ZIPOM..SIO KILA MTU ANAYETAKA GARI KUAGIZA ANA SMART PHONE NA HATA AKIWA NAYO SI KILA MTU ANAJUA PROCEDURES ZOTE ZA KUAGIZA MAGARI NJE...NA KUAGIZA MAGARI SIO RAHIS KIHIVYO KWA KILA MTU...KAMA WEWE UNAWEZA SIO WOTE...AU UNATAKA ASIYEWEZA ASIAGIZE AU AKUFATE...
IPILIMO BUSINESS SOLUTIONS kupitia Ipilimo Tuagize Magari....tumetimiza mwaka mmoja sasa tangu tuanze biashara ya IMPORT AGENCY SERVICES.
Tumeweza kushirikiana vema na SBT JAPAN Kuwaagizia Wateja wetu zaidi ya 24, Magari mazuri na bei nzuri.
SILAHA YETU ni Uaminifu, kujali mda, kujali bei...
Hii tabia ya kukopa na kutorudisha kwa makusudi na kisha kujidai eti tu hujawarudishia ni tabia ya watu wapumbavu na maskini wa akili. Kopa rudisha ili kesho ukope tena au wenzio nao wakope. Acha majisifu ya kijinga , na unakuja na majivuno huku kwenye platform ya Great thinkers!!! Is this how...
Duh ukifatilia comment za humu kuhusu hiyo Post, hakika ni shule kwa watafuta kazi na watoa kazi. Kuna mengi ya kuzingatia kipindi hiki ambacho uchumi ni mgumu unless....mtoa post budget yake haiendani na position na majukumu ya kazi husika, but pengine uchumi ndo huo umebana...maana yake...
Nenda sweetcorner tandale kuna jamaa wamevunja honda crv za kutosha. Na wala si tatizo kuzipata. Mpigie huyu muulize kama anayo.. Alichinja honda crv 0674016629
Tala hawakopeshi tena nadhani changamoto ya wasio rejesha imekuwa kubwa.. On other hand wakopaji wabaya ndio adui wa wakopaji waaminifu. Vimkopo hivyo vinasaidiaga sana, sasa unakuta kuna baadhi ya watu wakiona njia hizi rahisi za kukopesheka japo vijisent basi wao wanakimbia na madeni hayo kama...
Nauza hii, (mnyama) naitumia mwenyewe
1G kavu engine.... Haijafunguliwa
Full AC
Clean na haina uchakavu ndani
New bettry
Matairi mazima kabisa na spea yake
Automatic door locking
Mziki mnene: Redio nzuri:, screen touch, booster, flashdisk option, sd card option, play dvd/cd.
Bima hai hadi July...
Mark 2 Gx 100, 1G kavu engine
Engine haijafunguliwa,
Mwaka 1999
9-10km/litre
Full AC
Music with touch screen redio +buster
Clean ndani, hakuna uchakavu ndani
In good condition... Bettry n50 mpya kabisa
Already serviced kwa safari yoyote
Tairi nzima kabisa kwa safari na spea ipo
Bima hai hadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.