hii dunia tunapita wewe kila siku tunatafuta kuna siku za mapumziko hela wala haijai unaelekea wewe ni mchoyo hata kwa nafsi yako acha kula upate maendeleo basi tuone
kesho ni holiday
natafuta wa kuinjoy nae
napiga simu kwa asha
huyu ni rafiki yangu anafanya kazi ,ananiuliza una hela? mara nyingi wkendi huwa naenda kukaa kwake narudi kwangu jpili jioni yeye ni mnywaji mimi sio hela zote natoa mimi hata matumizi ya hapo kwake anzia vitafunio siku nipo nitatoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.