Search results

  1. N

    Haki za mke kwa mume zipo za aina mbili

    #Haki za mke kwa mume zipo za aina mbili; 1) Haki za kimali (mahari, chakula, malazi, mavazi nk). 2) Haki za nafsi (Mwili). #Miongoni mwao ni;
  2. N

    Tamasha za idd

    Tamasha za Iddy, Idi za Waislamu ni mbili: Idi ya Fitri baada ya mwezi wa Ramadhani na Idi ya Adh›ha baada ya siku ya Arafa. Na Mwenyezi Mungu Ametupa Idi hizo ziwe ni badala ya Idi za kijahilia na kila idi yenye kuzuliwa. Anas bin Malik t amepokewa akisema: «Watu wa Jahilia (kabla ya Uislamu)...
  3. N

    Tovuti ya fiqhi ya ibadah yenye picha zilizochorwa

    Ni mradi unaohusiana na kuwepesisha mafunzo ya hukumu mbali mbali ya Uislamu kwa lugha mbali mbali, kwa lengo la kueneza Uislamu ulio sahihi kwa waislamu. Mradi huu unajumuisha kitabu chenye picha kuhusu hukumu mbali mbali za Uislamu, ndani ya kitabu hiki kuna milango mitano nazo ni: a) Twahara...
  4. N

    Hukumu ya kutawadha

    Kutawadha: ima ni lazima na ima inapendekezwa: a. Ni lazima kutawadha kwa mambo matatu 1. Kuswali Mwenyezi Mungu U Anasema: {Enyi Mlioamini! Mnapo simama kwa ajili ya swala basi osheni nyuso zenu, na mikono yenu mpaka vifundoni, na mpake vichwa vyenu, na osheni miguu yenu mpaka vifundoni} [5...
  5. N

    Inafaa Kusoma Qur-aan Kwa Kutazama Mus-haf Katika Swalaah Za Sunnah?

    SWALI: Assalaam alaykum. My dear brothers. My question is.is it possible to my Sunnah prayers, while reading the suraz by holding the holly Qur'aan in my hand? I did not memorize those suraz, I would like to know if it is possible. Asslm alekum. Niliuliza suali,kusoma qurani katika sala kwa...
  6. N

    Kuna Du’aa Maalumu Ya Swalaah ya Dhwuhaa?

    SWALI: ASALAM ALAYKUM, SWALI NI HIVI, KWENYE SWALA YA DHUHA KUNA DUA MAALUM INAYOTAKIWA ISOMWE? NAOMBA MSAADA WENU. JIBU: AlhamduliLLaah Himidi Anastahiki Allaah (Subhaanahu wa Ta’aala) Rabb wa walimwengu, Swalaah na salamu zimshukie Nabiy Muhammad (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) na...
  7. N

    blog ya kiswahili inaonyesha matangazo ya adsense

    natafiti jukwaa or blogu je,kuna mtu jua yoyote na jazakum Allah kila khery
  8. N

    Hedhi

    Maana ya hedhi Hedhi kilugha Ni kitu kutiririka na kupita Hedhi kisheria Ni damu inayotoka kwenye uzao wa mwanamke katika muda maalumu bila yasababu Namna ya damu ya hedhi ilivyo Ni nyeusi kama kwamba imechomeka kwa weusi wake mwingi, yaumiza, ina harufu mbaya, mwanamke akiwa nayo huhisi joto...
Back
Top Bottom