nmekupata marejesho ila si kila mtu yuko tz na pia si kila mtu anaudhuria kanisani au msikitini,kwahiyo ukifanya kama faiza anavofanya kutufunza yale ayajuayo juu ya mada inasaidia sana,kwa ujumla jamii inanufaika.
Kama unaweza tuelezee ni nini mnafundishwa kama kina uhusiano na mada hapo juu...
mh marejesho naomba reference ya hayo majina nikajisomee.kwa hiyo kwenye hicho kitabu hakuna januari mpaka desemba?unafahamu zilitoka wapi na maana zake?
JF elimu tosha kwa kweli
kongosho ingia kwa kweli mana kuna dakika,saa,siku,mwezi hadi mwaka wa kila tukio iwe nila kufa au kuzaliwa au kupata pesa.sasa tusipojua haya majina majina chimbuko lake nahisi ndo tunadondokea kwenye majira ya mitego mibaya.yani unakuwa km umewekewa fence flani.information is power.elimu haina...
asante faiza,kwa kifupi nmeelewa kwamba hizi siku mizizi yake iko kwenye kiarabu au yako kiislamu zaidi.nmeona kwenye kitabu cha neno la Mungu cha kikrsto kimeandika siku ya kwanza,ya pili...mpaka ya saba sasa nkapata wasiwasi kuhusu uwepo wa jumatatu hadi jumapili.vilevile kwenye miezi...
habari!hivi hizi j'tatu-j'pili zilitungwa na nani na zina maana gani?mana naona kama kuna majina ya watu kwenye hizo siku mfano juma,tatu,pili,ali,hamisi n.k.vile vile kwa kiingereza monday-sunday.
Vile vile hawa kina january-december walitokea wapi kwa ujumla?
Nisaidie unachofahamu kwa...
angel msoffe-lengo lako ni nini hasa kabla sjachangia?ni kumfanya mumeo ***** au ni nini hasa!
Mana uliza wazazi ***** pia mana huwa wanafarakanisha mwanamke na mumewe na wanafanikiwa wala haiwekewi vikao.
Labda ungeweka mwelekeo ili watu waufuate hali wakijua wanaijenga jamii au wanaibomoa...
mzizi mkavu mi nafikiri halipo katika sehemu yoyote ya mwili bali inaweza kuwa identification ya nafsi yako.si unajua nafsi huwezi kuishika.namaanisha anaekuwa kwenye hii kitu tunaita mwili ambae ni nafsi+roho inayobeba taarifa za mambo unayofanya.jina ni kama roho halifi.mwili ukifa jina...
sina research nlofanya na staki kuhukumu wanawake kwa matatizo yanayowapata wanaume.wanawake wameshabeba matatizo ya kutosha.ila wazo langu ni kwamba itakuwa ni vema tu likiwakumba wengi especially wale wenye tamaa na kupenda hayo mambo kupita kiasi mana itasaidia kupunguza maambukizi na...
wazo lako zuri analitk.tungoja wny ujuzi wakushauri ila mi nnachoweza kukwambia inabidi we mwnyw uwe mbunifu km unataka kutumia internet mana siku hizi ubunifu ni mwingi mno mpaka nahisi kuna watu watavuliwa ajira bila wao kujua.nmecome across information zinazowaelezea hawa jamaa wa br...
pole sana dada.ila usikate tamaa haraka ww jasiri bwana mpaka umeweza kuzaa manake ww ngangali usikubali makahaba wakushinde.km neno la Mungu unalijua kwann usilitumie?ile item anayoenda kutumia ni mali yako kwann usiifungie kwa maombi?akitoka anatoka km alivo akijifanya kwenda kuchombeza...
dizbap na kuhusu majanga yanayoikumba mozambique inakuaje hapo?wana mipango gani kuyadhibiti?mana nchi ile wawekezaji wengi wakubwa nahisi wanaiogopa kwa ajili ya hofu ya natural disaster,huwa ikipiga inaharibu sana na kuwaacha wananchi ktk hali ngumu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.