Biashara ya betting imekuwa kwa kasi sana miaka ya hivi karibuni. Napenda kuuliza kwa anayejua inaingiza shs ngapi kwa mwezi. Na kawaida mtaji wake ni bei gani?
Kwa miaka mingi tumeshuhudia wazee wastaafu wa iliyokuwa Jumuiya ya Afrika Mashariki iliyovunjika mwishoni wa miaka ya 1970 wamekuwa wakilalamikia kutokulipwa mafao yao ya kustaafu. Sasa ni takribani miaka 40 toka jumuiya hiyo ivunjike. Wazee hawa wameendelea kulalamikia serikali za awamu...
JHPIEGO hawana majungu....ukiwa na qualifications kazi ni kwako kwenye interview. People you have to be smart. Dont keep on blaming things which you make up from your minds....All the best anyway
jhpiego hawana hizo...me nilipata kazi kwao na sikuwa namjua mtu yoyote...kazi ni qualifications zako na unavyojiexpress...nothing more
kwa hiyo ndugu kaza buti
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.