Unajua Lema anaweza akasema hilo swala bungeni. Lakini yeye co mtekelezaji. Kibaya zaidi msemaji na mtekelezaji ni maadui,ingawa tatizo lenyewe ni la kitaifa,lkn pia tunafahamu kila mtu na machungu yake. Unajua tulikoxea wapi.. Pale juu,2015 tumtoe yule anayeongoza nchi sasa na tumpe mwenye...
<br />
<br />
hi habari co kwamba ina chuki binafsi,ila inaonekana huyu jamaa haya mambo km yalimkuta. Lakini wadau tuzingatie kwamba hakuna mtu aliyekamilika.. Magufuli,tunamjua ndio ni mchapakazi na vitu vng anavyofanya huwa ananukuu vifungu vya sheria. Lakini tufahamu pia huyu mzee ana...
Hivi unaelewa maana ya hoja ya dharura.? Kuna mambo hayaitaji kuxubiri bwana. Kwani ishu ya umeme imeanza leo?. Watu wamechoka ndo mana wanataka hoja ya dharura na hili swala liishe. Ss tukixema tusubiri mpaka aje na majibu,atayaleta lini sasa?
<br />
<br />
kwani ina maana tumeshindwa kabisa yan tumeshndwa,kabisaaaaaaaa,kutumia hata mto malagarasi,Rufiji,pangani,ziwa victoria.??? Yan ndio tumeshndwa. Mungu atupe nini sisi..
Hv,embu jaribuni kufikiria wana jf, huyu shyrose kama angepata ubunge 'hayo angeyasema'?. Ni unafiki,unafiki na unafiki. Hzo ni hacra zake2 za kuukosa ubunge. Halafu mnamuita aje chadema kufanya nn?. Kwani haya matatizo yameanza leo ndo yeye anayaona ss hv. Cdm hatutaki mamluki,wanaona huku ndio...
<br />
<br />
humu kuna watu wa ajabu sana na akili zao zimeshabinafsishwa kitambo tu. Hv kuna haja gan ya kumtukana mtu kumsema cjui yuko hv, yan wewe ndo unaonekana taahira cz unaongea upupu tu badala ya kumpinga mtu kwa hoja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.