Tumepata tatizo Kama hili na voda.nimekatwa 150,000 za voda jaza ndani ya wiki moja tu!!Ninafikiri ni wakati wa kuachana na Hawa jamaa.nimekuwa mteja wao tangu mwaka 2002.ciao voda.
Hotuba nzuri sana inatupa picha ya Kiongozi anayetanguliza maslahi ya taifa lake mbele,mzalendo wa kweli,na anayeheshimu matakwa ya wananchi wake.hivi ni vitu adimu sana kwa viongozi wengi wa Afrika.
I remember that song by Juddy,killing me softly! This country is at the blink of a disaster and the only think we can do is grumble without making our leaders to account! Inji hii inaelekea wapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.