Kweli kabisa,ni wazo ambalo linaweza kuleta mabadiliko makubwa katika tasnia y siasa nchini. Kwa Sasa wanayo ofisi nzuri sana inayoendana na sifa ya chama
Nguvu ya kuwekeza kwenye vyombo vya habari ni muhimu sana. Na sio kabisa kujikita kwenye online Tv. Watu wanahitaji Television and Radio...
Uwezi kulazimisha Imani,uwezi kumlazimisha mtu atii unachokiamini.Zanzibar Kuna kosa kubwa wanafanya.Unamlazimisha mtu afunge Kwa kutokula huku moyoni ananungunika Kwa asilimia 80,mtu huyu anakuwa hajafunga hata kidogo Bali unamzuia kula tu.
Ukitaka kuamini kuwa Wazanzibar wengi hawana muda wa...
Kwa mtu ambaye anazo akili timamu na anajua anafanya nini huwezi kwenda Oman eti unaenda kutafuta kazi.Itakuwa ni ushenzi wa kiwango Cha juu sana.
Watu wenyewe ni masikini.Ukienda kufanya kazi kwenye nchi ambazo hazitoi uhuru wa kuabudu Kwa Imani nyingine, utumwa utakaofanyiwa hutokaa husahau...
Marekani ni christian Nations Kwa sababu unapozungumzia Western nations maana yake unazungumzia christian Nations kama US,UK ITALY,GERMAN,FRANCE,.Hizi zote ni civilized states,Kila mmoja wetu ana ndoto za kufika katika mataifa haya.Mfano mwingine,Vita vya Israel vs Hamas vimegeuka kuwa Vita vya...
Lowassa dini ilimkaa sana,ndo maana aliona kumtolea lugha chafu mwanasiasa mwenzie sio sahihi hata kidogo.Rejea harakati zake za kisiasa akiwa ccm na Chadema,pamoja na matusi mazito ya uzalilishaji kwake akiwa Chadema,Bado hakutumia kinywa chake vibaya au kumuumiza mwanasiasa mwenzake Kwa...
Mie naona kazungumzia jambo la maana sana,Marehemu Lowassa amefanya makubwa nchi hii,aliwahi kugombea urais kupitia ticket ya Chadema,Bila shaka Chadema wanalijua hili na wataungana na taifa kuomboleza na kushiriki kikamilifu katika mazishi yake.
Mie naamini Kuna watu au nchi wanapenda sana kudhamini ugaidi wa namna hii, Kuna nchi kama Iran na Qatar hizi nchi ni hatari sana. Kuna funds wanatuma Kwa baadhi ya waislam wanaoishi nchini Ili kuwatafuta vijana wa Kiislam wasio na ajira Kwa kuwapa fedha Ili watekeleze unyama huo Kwa mgongo wa...
Dini unaijua wewe? Ulimbukeni tu ukiamini kusoma madrasa ndo maadili,mbona wengine wanasoma madrasa wanawaua wenzao bila hatia? Unatuletea story za alifulela olela hapa. Dini kama unaijua ijuwe wewe na sio kutaka Kila mmoja afate unachofanya.Kila mmoja mbingu ataipata mbingu Kwa nafasi yake.
Moja ya nchi ambayo ina wananchi wake wanaoishi ugaibuni (USA, German, Italy, France, Canada, Australia, Norway, Spain, Denmark n.k) ni Tanzania. Ukiangalia Watanzania wanaoishi nje ya nchi idadi yake tunazidiwa na Somalia.
Ukiachana na nchi kama Kenya, Misri, Sudan, South Africa na nyinginezo...
Kwa wale wanaofatilia Azam utagundua udini wanautumia sana.
Wasiposimamia Sheria za Fifa wanaweza kufungiwa.Wasichanganye mambo ya dini na soka watashindwa.
Hata ukifatilia ajira zao wanajikita Kwa wale wanaoendana na Imani Yao.Hii sio sahihi
Naamini mawazo Yako ni mazuri, Rais ni taasisi kubwa hivyo anaweza akaiona post Yako then akiona inamfaa anaweza kuichukua.Tupo hapa duniani kusaidiana,nchii hii inahitaji msaada na maombi pia Kwa sababu tunapita katika kipindi chenye changamoto kubwa Hasa kwenye issue ya DP WORLD na bandari zetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.