Kwa hoja zako ni dhahiri hujawahi kufanya biashara ya kuuza ng'ombe nje ya nchi....sekta ya mifugo nchini inahitaji mageuzi makubwa na sio eartag ili kufikia walipo wenzetu kama Botswana.
Mkuu nakubaliana na wewe kuhusu bible...nimetoa tahadhali ya kuwa makini na mafundisho mengine,kwa mfano Mungu wa kwenye Bible na quran ni sawa according to mleta mada,.....kuna upotoshaji mwingi sana unafanyika kupitia Bible sababu imeandikwa ktk namna ya kimafumbo....mwisho wa yote giza...
Mkuu ninahisi huwa unasoma Bible,ina maarifa yaliyopitiliza uwezo wa fikra wa kibinadamu,kuna upotoshaji wa kiwango cha juu sana unaweza kufanyika kwa kuquote mistari yake na kuipa tafsiri....."kuna watu walikusanya maarifa,wakayafungia na kukataza wengine wasiyapate na mbaya zaidi hata wao pia...
Mkuu umeandika vitu vingi sana,lakini kabla ya yote ningependa kujua huyu binadamu kama mfalme suleiman aliumbwa na nani na huyo aliyemuumba alitoka wapi!?....
Ni kweli,hili jambo limejikita ktk mizizi ya jamii nyingi za kiafrika, lakini hili somo linapaswa lianze kufundishwa sasa kwa ajili ya wazee wa hapo baadae,kwa sasa wazee waliopo wasaidiwe wamalizie maisha kwanza maana itakuwa hatari!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.