Hiyo charges sio bank wanaziweka Bali ni kwa wanaotengeneza kadi (Visa card/ Master card) ,kumbuka hizi Bank hazitengenezi kadi ndio maana ya kupata kadi mpya, kurenew iliyoisha muda, kutengeneza kadi mpya baada ya kuharibika/kupotea gharama ni TOFAUTI.
Muhimu tujue imekaa muda gani kabla...
Kiongozi, neno Afrika na Africa katika matumizi ya maeneo/ bara yanatumikaje? Mfano hapo neno Asia umeutumia kwenye sentensi ya Kiswahili na unauweza kuutumia kwenye sentensi ya kiingereza pia hivyohivyo. Je, ya kwetu imetofautishwa na nini?
Serikali ya Djibouti walikuwa na hisa 67%, DP WORLD 37%.
Kilichotokea Mahakama ya Hong Kong 2022, Djibouti chali na kutakiwa kulipa $686.5 MIL wakati gharama ya mradi ilikuwa $359.5 MIL.
Hivyo sio sababu, vipengele vipitiwe vizuri hata kwa mara 10.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.