Luca Chadema ipo mioyoni mwa wananchi yenyewe inawasaidia kujua kwanini wanafikia hatua ya kuomba kusaidiwa kilo moja ya sukari,nini visababishi vyake na nani anavisababisha kama ni chawa wanaambiwa kama ni wenye chawa wananchi wanasaidiwa kujua.Ili kila siku wasiwe maskini.Kumbuka ni CHAMA CHA...
Luca kwenye sii hasa kuna vituko na vihoja vingi mno kama sii mwana sii hasa,wala usijaribu na hata namba yako usiiiweje tena.Kwani wana siii hasa wana kuambia hakuna adui wa kudumu na wala rafiki wa kudumu,kubwa ni unayapataje maslahi yako na kundi lako😁
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.