Search results

  1. mnkenimtaita78

    Serikali imeanza kuingiza udini katika sera zake? Suala la masomo ya kiislamu na Divinity yanatoka wapi?

    Umekasirika sana! Samahani sana kwa kukukosea, ni aula sana kufanya mijadala na watu waliokuwa na busara na hekima kubwa kama wewe. Nilidhani kuwa Kuna kundi ambalo limependelewa na wengine wakaachwa kulingana na maelezo yako ya awali na hata haya.Kumbe si hivyo nimekosea nisamehe bure maana...
  2. mnkenimtaita78

    Tukisema mfungo wa Ramadhan ni mwepesi na ni kubadili ratiba ya kula tunakosea?

    Mjadala unaonesha jinsi watu walivyo watupu katika kuchambua vitu vidogo sana kwa mantiki.Hivi unapozungumzia kufunga ni sawa kwa Muislam na mkristo? Je mkristo anafunga kwa ajili gani, wakati gani, anafunga mambo gani nk.Ukimaliza hapo uliza Muislamu anafunga kwa sababu zipi? wakati gani?Je...
  3. mnkenimtaita78

    Serikali imeanza kuingiza udini katika sera zake? Suala la masomo ya kiislamu na Divinity yanatoka wapi?

    U Umeghadhibika! Tulia uchangie kwa utulivu,vip divinity na Islamic knowledge vinaweza ifanya Tanzania kuwa ya kiislam?
  4. mnkenimtaita78

    Kuwekwa kwa somo ya Kiislamu kwenye Tahasusi kunaashiria nini?

    Kwani sasa hivi hayo masomo ya dini yanafundishwaje?.Maana wanafunzi wanafanya mitihani na wanaofaulu wanafaulu na wanaofeli wanafeli. Kwakuwa hakuna atakaye lazimishwa kusoma tahasusi yenye Somo la dini wanaotaka wasome wapewe nafasi.
  5. mnkenimtaita78

    Kuwekwa kwa somo ya Kiislamu kwenye Tahasusi kunaashiria nini?

    Suala hapa siyo Kodi,mtoa mada uwe wazi unahofu na Hilo box.Nami nimekuelewa hapo kuwa unahofu na matokeo ya wale watakao fundishwa hasa upande Wa pili.Usipige chenga kusingizia Kodi kwani hao wengine hawalipi Kodi. Masomo ya dini zote yanafundishwa acha watoto wanaotaka wasome.Wengine hawana...
  6. mnkenimtaita78

    Serikali toeni hizo Combination za Dini hii siyo nchi ya kidini

    Bado Sijapata mantiki ya hoja ya kupinga tahasusi mpya.Ina maana mwanafunzi anaposoma Somo la dini na masomo mengine mawili tena Kwa hiyari yake ni madhara gani hutokea?.Mbona wanapoenda vyuo vikuu zipo shahada zinazohusu dini.Nilidhani labda watakosa maarifa ya awali wanapoanza shahada zao...
  7. mnkenimtaita78

    Baadhi ya walimu wa shule za msingi ni "Semi-literate"?

    Nimepeleka cheti wakati anaanza darasa la kwanza na mwezi Wa January akiwa darasa la nne nilipigiwa simu nipeleke majina nikaenda na cheti kwamba wanasajiliwa.Hata hivyo majina yaliyokosewakwenye hii ilikuwa ni zaidi ya watoto kumi mbona ikaisha baada ya watu kulalamika?Uzembe upo.
  8. mnkenimtaita78

    Baadhi ya walimu wa shule za msingi ni "Semi-literate"?

    Anayesajili ni nani kwenye huo mfumo? Kama walimu wakuu hawasajili kwenye mfumo liwe wazi maana kunakutupiana mpira .Sisi ni Watanzania na wadau Wa elimu tungependa watu waliopewa dhamana na taifa watutendee haki kwa mujibu Wa majukumu yao.Mpaka hapa naona Kuna walakini.
  9. mnkenimtaita78

    Baadhi ya walimu wa shule za msingi ni "Semi-literate"?

    Mwalimu inabidi utuelimishe taratibu.Wengine tunafuatilia jambo hili kwa ukaribu kwa kuwa limetuathiri.Mimi nimefika Hadi shuleni kupeleka nyaraka za mtoto wangu kwa maelezo kuwa usajili unafanyika.Baada ya kufikisha nakala ya cheti ninapaswa kufanya Nini zaidi ya hapo?.Matokeo yanatoka jina...
  10. mnkenimtaita78

    Baadhi ya walimu wa shule za msingi ni "Semi-literate"?

    Mwalimu umeghadhibika.Maneno yako yanakuondolea Haiba ya kiualimu.Kukiri kosa siyo udhaifu,unajirekebisha mambo mengine yanaendelea.Hata walimu wanaofanya kazi kizembe siyo wote ni baadhi tu.
  11. mnkenimtaita78

    Baadhi ya walimu wa shule za msingi ni "Semi-literate"?

    Tatizo siyo dogo baadhi ya walimu hawapo makini.Watoto wangu wawili pia wamepata shida kama hiyo.Vyeti niliwakabidhi, wanavyo na baadhi ya walimu nimeshawahi kufanya nao kazi wananifahamu na watoto pia.Nilipojaribu kufuatilia eti mkuu naye anashangaa.Ila maelezo ambayo Afisa Taaluma alinipa...
  12. mnkenimtaita78

    Shehe Mwaipopo: Wakati Dini nyingine wanakazana kujenga Mashule na Hospitals Bakwata wao Wamekazana kuhakiki Mali za Urithi!

    Answar mtume wao nani?,kitabu Chao kipi?hawaswali swala Tano?.Hitilafu za maulamaa ni hekma.Tuungane pamoja katika tusiyo pishana.Pia tuwe na viongozi wenye hofu ya Mungu na wenye maono.Huwezi ukamchagua imamu mpiga ramli ukakubali kuswalishwa naye lazima mpotee wote.Tufuate Quran na Hadith...
  13. mnkenimtaita78

    Shehe Mwaipopo: Wakati Dini nyingine wanakazana kujenga Mashule na Hospitals Bakwata wao Wamekazana kuhakiki Mali za Urithi!

    Na wasiokuwa waislam wanaipenda sana Bakwata.Hata masheikh wengi huingia katika misukosuko kwa kuongea ukweli juu ya Bakwata.Kiukweli hii taasisi inaudumaza uislam nchini kwakuwa Ina mipango duni isiyotekelezeka.
  14. mnkenimtaita78

    Shehe Mwaipopo: Wakati Dini nyingine wanakazana kujenga Mashule na Hospitals Bakwata wao Wamekazana kuhakiki Mali za Urithi!

    Sidhani kama wewe ni muislamu mwenye uelewa kuhusu BAKWATA.Hii ni taasisi ya kusimamia waislamu siyo dhehebu.Shida viongozi wanaingiza umadhehebu kwenye taasisi inayotakiwa kusimamia waislamu wote kama ilivyokuwa EAMWS.Taasisi ndogo zinafanya vizuri katika nyanja ya maendeleo ya kijamii lakini...
  15. mnkenimtaita78

    Waislamu badilikeni

    Well said mkuu
  16. mnkenimtaita78

    Waislamu badilikeni

    Sheikh Kishk ni Sheikh anayeona mbali.Wangekuwepo mashekh wengine kama yeye Jamii ya kiislam ingebadilika.Tatizo wapi wachache Wa aina yake na hawapewi nafasi kuongoza Jamii ya waislamu Wa Tanzania.
  17. mnkenimtaita78

    Ndugu zangu Waislam mtaniwia radhi kidogo

    Chombo gani Cha waislamu kitoe tamko liwe la waislam wote hapa Tanzania?
  18. mnkenimtaita78

    Wito Kwa Rais Samia, Usiingie Kwenye Mtego wa Udini Kwa Kukumbatia Maagizo ya TEC

    Kwa Hali ilivyo mkataba uendelee shida ipo au usitishwe Bado shida ipo.Tumeshajiingiza vibaya katika huu mjadala.
  19. mnkenimtaita78

    Lini Wananchi walishirikishwa kukabidhi chuo cha TANESCO kwa Waislam?

    Mnachokitafuta watanzania mtakipata soon!
Back
Top Bottom