Nimesoma kwenye gazeti la nipashe, chadema wanataka watu 100,000 wawachangie kila mwezi shilingi 1,000 kila mwezi ili wapate shilingi 100,000,000 milioni mia moja. Jamani humu tupo wana chadema zaidi ya 120,000 na waccm wachache
wanaoipenda chadema hebu tutume na viongozi wa chadema wa kanda...
Mwanafunzi kauwawa, yeye anaanza kutoa kejeli kwa wanafunzi kuwa hawana adabu na kisha anaanza kuhangaika na Lema badala ya kushughulika na kuwatafuta wauaji. Wamesema wataandamana ili mhe rais kikwete amhamishe kwa maana yeye ndio hana adabu na utu hata kidogo.
Mambo yamefika pabaya. Mkuu wa mkoa ameamua kufanya mchezo alioukusudia kuwa mauaji ya mwanachuo wa uhasibu Henry aliyeuwawa na watu wasiojulikana usiku wa jana ni ya kisiasa na kuwa wanasiasa wanahusika.
Mpango ni kumhusisha Lema ili kumchinja kisiasa.
Wanausalama wa taifa wawili waliokuwa...
CCM walikuwa wamejipanga kuwafutilia mbali wanachadema wote walioomba uwakilishi kwenye mabaraza ya katiba. Mkakati wa wagombea wa chadema ikawa ni kujitambulisha kuwa wao ni wana CCM.
Mmoja wao ni Mchungaji mmoja ambaye huwa anahubiri kwenye radio moja hapa jijini arusha ambaye alipewa mpaka...
Inaumiza sana kwa wengi waliiona tukio la dodoma ambalo CCM kwa makusudi wakiongozwa na wabunge wao rage, chatanda, nyangwine kwenda kuvamia na kutoa bendera ya chadema na kuitoa. Makada wa chadema walipifika ili bendera yao irudishwe wamewafanyia vurugu halafu na kuwapiga kama mbwa mwizi na...
Nilikuwepo kwenye ziara hiyo ya mbunge alipotembelea sekondari ya korona hapa mjini arusha.
Afisa elimu alikuwepo, mkuu wa shule, diwani, kaimu mkurugenzi wa jiji. Akaamuliza mkurugenzi kama baraza la madiwani lilishaamua ijengwe bweni kabla ya wanafunzi hawajafungua shule mwaka wa masomo 2013...
Viongozi wa Arusha Press club tumeshindwa kuwaelewa. Tumekaa tukisubiria wote kufanya maandamani ya AMANI kupinga mauaji ya kikatili aliyofanyiwa daudi mwangosi. Tumeshangaa wamekuja na taarifa kutoka POLISI kuwa maandamano yamezuiliwa kwa sababu darasa la saba wanajiandaa na mitihani. Jamani...
Baada ya kuzinduliwa hivi karibuni, tawi la CDM DC, Maryland na Virginia wamemualika katibu wa CHADEMA mkoa wa Arusha Mhe Amani Golugwa kwenda kulijenga na kusimamia uchaguzi mdogo wa TAWI wa viongozi wa chama.
Kabla ya uchaguzi huo mwenyekiti wa muda wa tawi alikuwa ni mhe kalley pandukizi...
Leo kwenye kipindi cha maswali kwa waziri mkuu, Mhe Pinda amesema yeye sio Mcha Mungu.
Hivi huyu waziri mkuu anatumia akili kweli?? Hana HOFU ya MUNGU ndio maana anakuwa muongo, muoga wa kuchukua maamuzi na dhaifu katika kuendesha serikali.
Amekiri ameshindwa kutatua mgogoro wa madaktari halafu...
Hatimaye uhuru wa Tanzania utapatikana rasmi mwaka 2015, uhuru kutoka utawala wa CCM uliochoka na kushindwa kuleta matumaini kwa Watanzania, hii ni lazima, ishara zote zimeshatimia (Imethibitika kisayansi ya siasa CCM haikarabatiki tena).
Haitakuwa rahisi sana, kutakuwa na pingamizi mahakamani...
Lawama ambazo mhe nyalandu amekuwa akizitupa kuwa anafanyiwa fitina na chama (ccm) si za kweli. Tabia za mbunge huyu za majidai na majigambo kuwa yeye ni mtawala na kuwa wamarekani wamekuwa wanamtaka awe rais wa Tanzania ndio chanzo cha yote haya na zimemfanya kuwa na kiburi kibaya sana.
Shutuma...
Vijana wa CCM waliovalia kombati za chadema kuanzia wiki iliyopita wamekuwa wakipita na kugawa fedha kiasi cha shilingi 30,000 hadi 50,000 kwa vijana wenye pikipiki katika maeneo ya usa, tengeru na maji ya chai. Mpango huo wa kufitinisha ambao unaratibiwa na Mwigulu Nchemba inasemekana wamekuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.