Jamani naomba kwa wenye wanajua wapi naweza kupata connection ya kazi.
Tusaidiane ndugu zangu
Mimi ni binti miaka 24
Napatikana tabata DSM
Elimu kidato cha 4
Pia nimesoma computer basic applications na niko vizuri kwenye Ms Word, Ms Excel ,PowerPoint, Publisher na hata matumizi ya internet...
Wakuu Poleni na majukumu
Mimi ni binti wa miaka 24, naishi Tabata Dar es Salaam. Nimehitimu kidato cha nne mwaka 2013, ila kutokana na sababu za kiuchumi nlishindwa kwenda chuo.
Baadaye nilifanikiwa kusoma computer. Najua kuongea na kuandika Kiingereza na Kiswahili. Najua kutumia NMB na Equity...
Habari za jumapili wakuu....
Kuna hizi nafasi DART walitangaza na deadline ilikuwa tar 3.nasikia tetesi wameita usaili, ni kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu Poleni na majukumu
Mimi ni binti wa miaka 24, naishi Tabata Dar Es salaam. Nimehitimu kidato cha nne mwaka 2013, ila kutokana na sababu za kiuchumi nlishindwa kwenda chuo.
Baadae nilifanikiwa kusoma computer .Najua kuongea na kuandika kingereza na kiswahili
Najua kutumia NMB na Equity...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.