Miaka miwili mnateseka na kunguni,????
Mimi kunguni walinitesa siku moja tu, next day maji ya moto kwenye edge za kitanda yaliwahusu. I five days waliisha wote ila kuanzia hiyo siku ya pili niliyopiga maji nililala kwa amani sana.,
Nahitaji eneo la gereji(fenced) au nyumba stand alone. Location ni maeneo ya kuanzia ubungo kuja mjini (ubungo yenyewe, sinza mwenge, mikocheni, magomeni, mabibo, external, n.k.) 0688 758 625
Huyu Sterling hata kama huwa hayuko consinstence ila match ya City alideserve 100% man of the match,
Alisumbua sana ile winger ya kushoto, Ilikuwa ni Nightmare kwa Walker na Rodri, Hata alipohamia kulia bado alikiwasha, nayakumbuka matukio mawili, Cross aliyimpa Broja na baadae ikazalisha...
Kweli inazikitisha Bro, this shows how men wamekosa kazi,
Kama mtu anadhani kufake maisha humu ndani ni rahisi na yeye akafeki maisha,
Hakuna mtu atakukodishia RR au MB kwa 20k, Nauli za ndege mnazijua, hotel na appartment classic mnazijua bei zake.
all these things zinahitaji pesa au mbona mnazungumza kama ni kitu kila mtu anaweza?
How many times amepost video yukokwenye ndege?
Hiyo video yake ya vimbao watu wameona mbao tu ila hawakuona pesa, sisi wabongo tuna matatizo mengi.
Beba nida nenda tawi la benk hakuna mahitaji yoyote, me nilifungua kwa voters id mwaka 2017,
By then account niliyokuwa natumia haikuwa na makato, zaidi labda wakati wa kutoa hela, ila makato ya mwezi hayakuwepo, labda wataalamu watakuja na maelezo zaidi.
Natamani kurudi equity bank ila nlishaburn bridges.
2018 nmemaliza chuo maisha yamenichapa si wakajikoroga wakaniwekea 100k faster sana nikaitoa mpaka kesho sielewi hata kadi yangu iko wapi na sijui kama account yangu inaexist.
3500W sijui nitapikia nn, imagine 2200W tu temperature huwa inafika 350°C.
Deep frying unafanya kwenye around 1800 watt tu.
Mimi huwa naweka 2200W kama nataka kuchemsha kitu sababu najua kitachemka haraka.
Ila vyakula vingi napika kwa 1000w mpaka 1300w.
Wali napika kwa 1300W na maji...
Vitu huwa vinamwagika na hamna shida yoyote. Hilo jiko juu ni kioo tupu, sasa hata vitu vikimwagika hamna effect yoyote ya umeme utakayopata.
Hivi watu mnauogopa umeme kwa extent hiyo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.