Kweli ungekuta hii vita kashinda kitambo na kawin baadhi ya majimbo ya ukraine.
Hata na hivyo, taiwan ungekuta kitambo imeshavamiwa na china.
Navyo ona, china ameshindw kwasababu, anawezapoteza silaha zake zote na mwisho wa siku akaambulia patupu
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Jikngeze, huyo mzee anaona huna hadhi ya kuwa na mwanae
Alitaka mwanae aoelewe na mtu aliye toka familia yenye status.
Anakuona tuu dunga dunga, yaani play boy unamchezea mwanae na siku si nyingi utamuacha
Hata na hivyo hawez kukutambulisha mbele za watu kuwa ww ni mume wa mwanae
Ki ufupi kaz ya umalaya ipo underated sana.
Lakin wanasaidia jamii kwa namna moja au nyingine
Mfano wasinge kiwepo kungekungekuwepo na matukio ya unyayasaji na ubakaji sana, lakin uwepo wao unapunguza matukio kama hayo
Serekali ni muda mwafaka wa kuwapatia vitendea kaz na kutunga sera...
Mchongo ulikua wa billion tatu, diamond alilipwa toka mwaka jana, lobbiest aliye sababisha mchongo alipigwa, alitaka asilimia kumi, diamond akataka kumchukulia poa, amkadirie.
Kampuni ingefunguliwa toka mwaka jana, kuchelewa kumetokana na nagotiator kutia mgomo, baada ya diaomd kutaka kumrusha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.