Habari naitwa LETICIA CHARLES nafuta kazi,
Supermarket, Customer Service or Sheli, ni muaminfu na mwelevu, umri miaka 24
Kama kuna mtu anaweza kunisadia au kama kuna mtu anahitaji mtu uwezo ninao, nipo Dar es Salaam- Bunju [emoji120][emoji120]
Contact 0757087572
Samhan ndugu jamaa na marafiki nlkuwa naomba msaad kwa mtu mwenye ufaham wa baadh ya hizi ndoto aniambie maan ak...
Kuota NYOKA
MAPAMBANO
SAFARI
NA KUPAA
Hivi kwanin hizo pesa zisingetumika hata kuwasaidia wajasilia mali wadog wadog ilkiweza kujiinua uchumi na kipato cha nchi.Kulko kifnyakazi ya kuwawezesha ambao wanajiweza hayo ni matumizi mabaya ya pesa.
Mim nazan maendeleo yantegemeana mwamko wa watu wenyewe kam jamii siyo tegemezi sanaa hapa lazma maendeleo yawep lakin katika kutazamia mfumo nchi inaweza kuwa ya kijamaa au ya kibepari and still the problem of underdevelopment existing,, uongozi bora,mwamko kwa jamii na utendekaji bora hvi ndy...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.