Ndugu wana jamii Forum,
Mwenzenu natatizwa na hii huduma ya ving'amuzi hususani ss wa kada ya chini, natumia star times, lakini wananiker sana, hawana channel za maana. Napenda kuuliza nani anatumia za TING na Digitech na huduma zao zikoje.
Msaada please
Wapendwa, hana hata sababu, kitandani mwenyewe anaridhika na kunipa BIG UP, kimato sio kibaya, tunakaa wkenye nyumba yetu, tuna watoto, tuna kigari cha kutembelea,nimemwuliza sababu ni nini anasema shetani kampitia, hao wanaume anaonicheat nao hawana lolote, yeye ndo anachukua pesa zangu na...
Jamani wa jamii, naombeni ushauri wa bure
Mke wangu kanicheat kwa wanaume mbalimbali, nilipomwuliza mara ya kwanza ilkataa na kutaka kuapa through bible, baadaye baada ya kumbana na kuleta vithibiti kakubali kuwa kweli alikuwa ananicheat nifanyaje? je na mie nilipize kisasi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.