Hongera sana man u.
Ile trust iliyoyumba kipindi kile sasa imerudi.
Team spirit ya jana ilikua juu sana.
Ila bado tuna tatizo kwenye kukaba, tumewaruhusu tot kufika kwenye box mara nyingi sana.
Wachezaji wengi walikimbilia kukabia golini.
All in all points 3 zilikua muhimu sana.
Lets keep...
Mkuu umenena vema sana.
Very right, mimi ningeongezea hapo kwny bank, siku iz kuna banks ambazo zinaruhusu account kama fixed deposit lakini ni kind of saving, unaruhusiwa kuweka kila upatapo lakini huruhusiwi kutoa kila mara( mfano, mojawapo unaruhusiwa kutoa mara 1 kwa miezi mitatu)
Swala la...
Aisee ile sub ya Martial na Mata sikuzikubali hata kidogo.
Tulishawapoteza, ngoma ikienda kulia wanachanganganyikiwa, kushoto ivoivo.
Martial aliona hatric kabisaaaa
Nazani alimwambia Mou pale, why??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.