Habari wana MMU,
Leo si siku ya kumbukizi ya kuzaliwa kwangu, namshukuru Mungu wa kuongeza mwaka mwingine nikiwa na afya njema kabsa.
Mwenyezi Mungu awaomgezee wazazi wangu miaka mingi na heri hapa duniani..
Hakika Mungu ni Mwema na Mkuu wakati wote.!
Habari wana MMU, leo siku ya kumbukizi ya kuzaliwa kwangu, ningependa kumshukuru Mwenyezi Mungu na wazazi wangu kwa siku hii muhimu sana.
Ahsante kwa afya njema, pia muwe na siku njema wana MMU na Mungu awabariki sana tuendelee kupeana ushauri na kukumbusha mambo ya msingi katika mahusiano...
Habari wakuu!! nauliza hapa kama kichwa cha ujumbe hapo juu, Matokeo ya usaili wa kuandika uliofanyika tarehe 14 january katika kanda tofauti tofauti yametoka au bado?
natafuta sioni..labda kuna mahala nakosea, Kwa anaelewa naomba majibu tafadhali.
Habari wakuu,
Niende moja kwa moja kuuliza kwa mtu aliyewahi fanya usaili au paper kada ya TRANSPORT OFFICERS natahitaji kujua maswali wanayotoa yanabase upande gani? au kama unayakumbuka tupia hapa nipate muongozo tafadhali.
Natanguliza shukrani zangu za dhati kabsa!!
Habari ya kuamka wana MMU,
Ningependa kuchukua nafasi hii kuwatakia wote heri ya sikukuu ya krismass kwa waamini wote..ikawe siku bora na njema tukikumbuka siku ya kuzaliwa Yesu kristo kama mkombozi wetu!.
Sikukuu njema kwenu wote! waamini
Sent from my EML-L29 using JamiiForums mobile app
Leo nina moja la msingi kwenu sekretariati ya ajira zingatieni mwaka wa kumaliza masomo ya vyuo mnavoita wanasaili kwa ajili ya mchujo.. mtu aliyemaliza mwaka 2017 hawezi complete na mtu alomaliza 2021 the same course.kutokana mmoja kesha kaa sana mtaani swala la kumbukumbu ni shida mno..kwenye...
Wazoefu mliowahi fanya paper za utumishi za CLEARING AND FORWARDING naombeni uzoefu paper zinakuajee..au kama kuna maswali unayakumbuka ya namna gani tafadhali..
Natanguliza shukrani!
HABARI wakuu.
Leo nakuja tena kwenu wana jamii najua siwezi kosa ushauri, maoni ya namna yeyote nayoweza maliza hili tatizo langu linalonisumbua kwa sasa. Iko hivi nina mpenzi wangu niliedumu nae kwa takribani miaka 5 inaenda sasa, binti kwao wapo watatu wakike wote yaani yeye ni wa kwanza age...
Haya ni makusudi ya wazi kwa Secretariat ya ajira kutangaza kazi za airport operations kwenda kufanywa na watu waliosoma laws huku wataalam wa LT wakiachwa
Hapa Kuna mawili yawezekana watu waliopewa dhamana hii yakusimamia recruitment hawafit kwenye hizo position au wanachukulia liwalo na liwe...
Sasa umesoma HR, BBA, Law, sjui Ufugaji wa Kuku unafanya usaili wa kada ya transport una akili?
Lazima uende Dom kutalii tu, waacheni wenye kada ya TRANSPORT & SHIPPING.
Omba kazi kulingana na kada yako ili USILE ZA USO.
wakuu heri ya sikukuu ya Eid,
Niende moja kwa moja kwenye swali langu..hivi hizi ajira Za muda zinazitangazwa kupitia UTUMISHI WA UMMA kweli zinakua za muda au wanasema tu labda kwa miezi mitatu kukatisha tamaa watu wapungue kwenye kuomba hizo kazi? mwenye kujua chochote aeleze inakuaje..labda...
Habari ya mihangaiko ya hapa na pale wakuu.. poleni na kadha ya kupanda bei kwa vitu nchini unaochangiwa na kupanda kwa bei za mafuta..
niende moja kwa moja kwenye point naomba msaada wa kujuaa gharama za shamba kuanzia hekta 1 kwa baada nilifanyie kama makazi..napendekeza kwa maeneo ya...
Habari yenu wana MMU
Ningependa kuchukua walau nafasi hii Kumshukuru sana mwenyezi Mungu pamoja na wazazi wangu kwa siku ya leo, siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwangu.
Kama unalolote la kuniambia..ushauri na mambo mengine kwa wema karibu! Ahsante!
Desire Mobutu sesseseko Kuku Ngweno wa zabango
Wakuu bahari ya mihangaiko ya hapa na pale..na pirika za maisha..
Niende moja kwa moja kwenye swali..hivi inawezekana kurudiana na mpenzi wa zamani na mkawa kama kawaida..hata kama mliachana kwa ubaya?
Kiiufupi miaka sita hivi imepita lakini saiv mawalisiano yamerudi kiasi fulani..pamoja na...
Wakuu habari ya maandalizi ya sikukuu ya christmass..Kama wewe ni mdau wa movie za kivita. Naomba walau weka list ya series zako tano za kivita hapa kali.
Msaada. Tupia list hapo chini. Natanguliza shukrani zangu za dhati
Ahsante!!!
Wakuu habari ya Jumapili?
Ningependa kuwapa pongezi wale walipata chochote kwenye teuzi za mama na ambao hatujapata kazi iendelee yote maisha. Msaana naomba uniwekee SERIES ZAKO KALI ZA KIVITA (war movies series)
Nizitatufe nimekua mdau wa hizi movies! nasuburi mrehesho hapa.
Ahsante
Habari wakuu.. kwanza kabisa ningependa kumshukuru Mungu kwa kuongeza mwaka mwingine siku ya leo.. Ahsante kwa wazazi wangu wote wawili.
Umri unaenda kasi mno tusijisahau kwenye mambo ya msingi katika kujijenga kiakili, kiuchumi na kijamii
Ahsante!!
Habari wakuu,
Katika tasnia ya filamu binafsi ni mpenzi wa movie za kivita kimombo wanaita WAR MOVIES na hizi ni baadhi ya movie zangu TANO kali za kivita.
1- Lone survivor
2- Windtalkers by nicolaus cage
3- The pasific
4- Tears of the sun
5- Behind enemy's line
NAOMBA NITAJIE ZAKO TANO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.