Habari Wadau,
Ni Imani yangu kwamba mnaendelea vema na pilika za siku kwa siku, Imedhihirika kwamba wanaume ndio huwa tunahangaika kubeba mizigo ya wenza wetu ikiwemo stress ambazo hupelekea kujipata na maradhi kama Kisukari na Presha,
Mimi ni mtanzania kiasili na ninaishi mikoa ya kanda ya...
Habari wadau,
naamini mnaendele vema na majukumu ya kila siku na hatuna budi kumshukuru Mungu kwa ulinzi wake juu ya maisha yetu ya kila siku,
Mimi ni mtanzania ninaishi kijiji cha Bugarama kilichopo wilaya ya Kahama,
Shida yangu napenda kupata ushauri wa Afya kutoka kwa wataalamu waliomo humu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.