Sio ukweli bhana huyo jamaa kazi yake ni kututishia tu, mara usile mkate, mara usile nyama, mara usinywe soda, yaani kila kitu kwake ni kibaya, huyo Doctor huwa anataka tuwe tunakula mchicha sijui mpaka uote tumboni
Na ninatamani ungejitambua ukayaona unayoandika kwa sasa ni upuuzi ukaamua kuyaacha ungerudisha heshima yako kwa haraka sana, kila mtu huwa anakengeuka, unakumbuka siku ile magufuri alikukejeri ulipouliza swali ambalo lilionekana kwake la kipuuzi, na ni kwa sababu uliliuliza ovyovyo
Wewe zoba tu paskali hata useme nini, nilikuwa nakuona bonge la mtu wakati ule, lakini mara baada ya kujitoa akili na kubeba akili za kushikiwa za ccm umekuwa zoba wa kiwango cha juu saana
Hivi Paskali kujipendekeza kwa serikali ya ccm kutaisha lini na umri unazidi kukutupa mkono ?, sasa hivi ulitakiwa ufikie mahala unafikiria kwanza kabla ya kuandika jambo, umri wako unapingana na mambo unayoyafanya..
Sasa hivi umekuwa zaidi ya kiherehere yaani sio zoba sio zombie sijui nikuita...
Ni kweli ndugu, mimi nilienda dukani kwa Dr Mwaka pale mwanza maeneo ya makufuri nikapewa dawa, nililipa shililing 220,000 nikanywa dawa ile lakini sikuona tofauti yeyote na hali bado iko palepale, kwahiyo nae ni tapeli tu
Upuuzi ni mwingi saana aliofanya ambao hatutsahau,
1- Kutengeneza chuki miongoni mwa jamii ya watanzania, Mtakumbuka aliwahi kutamka kwamba mtu yeyote akimvamia kumpiga hata kumuua mpinzani asione askari wanamsumbua mtu huyo
Watu wenye akili kama wewe ccm huwa haiwasikilizi, inachowaza ccm ni uchaguzi wa 2025, yaani acha tu hizo ndege 4 ulizotolea mfano kwamba wangeacha kuzinunua fedha yake ingesaidia pakubwa sana, kuna magari ya washawasha yalinunuliwa mwaka 2015, yale magari yaligharimu mabilioni ya shilingi na...
Hapa sikupata nafasi ya kukujibu Wangari, hivi unasisitiza kwamba ni sahihi na ni haki kwa mwanamke mke wa mtu kuchangia sherehe kwa single ??!!, kweli ??!!, Kama ni wewe, hivi unapata hasara gani ukimtaarifu mwenzio kwamba, nina kadi hapa ya harusi, sasa sina pesa ya kutosha kuchangia wote...
Habari kwenu wote, naamini Mungu ni mwema anawalinda na kuwajaalia afya njema, tukumbuke kumshukuru Mungu kwa kila jambo,
Narudi hapa kuleta mrejesho wa mada hii niliyo iandika mwaka 2018,
Baada ya muda mfupi kupita niliweza kurudi kwenye line niliyokuwepo, Serikali ya awamu ya sita ilipoingia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.