Wasalam wadau. Nawasalimu kwa jina la upendo wa dhati.
Kwa wale wasioelewa maana ya neno NoFap.
NoFap ni kitendo cha mwanaume kukaa kwa muda wa kipindi fulani aidha miezi miwili, mitatu mpaka miezi sita pasipo kutoa mbegu zake za kiume yaani hiyo challenge msingi wake ni No Sex, No...
Wasalaaaam wadau! Nawasalimu kwa jina la upendo wa dhati.
Kiukweli mimi najiona kabisa sasa nimefikia hatua mbaya sana maana imefika hatua nimekuwa addicted vibaya mno wa kuzama uvinza yaani raha yangu ni kupaangalia pale paluvyo na kisha kutia ulimi mpaka najishangaa kwamba mimi siku hizi...
Wasalaam wazee.
Ni kwa muda mrefu sana nimekuwa nikipenda kujifunza sanaa za mapigano.
Sasa wadau naamini humu kuna wakongwe na wajuzi wa mambo haya mnaweza kunipa ushauri.
Je, ni sanaa ipi ya mapigano iko strong kwa maana ya self defence, sihitaji kuwa mkorofi ila mtu akijichanganya vibaya...
Mtu umeenda zako pub moja kali sana kuna warembo wakufa mtu cha ajabu unaonesha kuwa interested na mazi flani hata kampani umnunulie kinywaji mpige stori muda uende mtu anakwambia bila aibu miimi bao moja 70,000 what the hell is this? Kwani yeye hawezi kunilipa hiyo70,000 kwa kummwagia bao langu...
Habari wadau, natumai mko vizuri....
Iko hivi, kuna mshkaji wangu mmoja hivi yeye yuko mwanza huko.
Juzi jumaatatu alitangaza kuuza simu yake kwenye mtandao flani wa hapa bongo.
Sasa anasema ni watu wengi waliipenda Ile simu Ila kikwazo ni kwamba walikuwa wakiuliza kama ana risiti ya simu...
Habari waungwana..... Huu ndiyo muda muafaka wa kuwahama azam na kwenda kwenye full hd DSTV maana kifurushi cha Azam cha bei ya juu TSH 35,000 channel zake hazifikii kifurushi cha DSTV cha TSH 21,000.
Kwaherini Azam mlinifaa Sana kwa kipindi nilichokuwa nanyi na huu ndiyo muda rasmi wa...
Maana nimezoea kila mida ya usiku kuwasha udi moja na kuvutia ganja geto sasa isije ikawa wapuuzi jirani wanasikia mjani.
Wabangi bangi tupeane semina juu ya hili kama inazuia kweli ama hizuii maana kuna limama la jirani mlango wa tatu toka chumba changu kila tukionana asubuhi linaniangalia kwa...
Nakitafuta hicho kitabu mazee na je kimeandikwa na nani, mapenzi yatatuua mwaka huu maana huyu demu ni muarabu sasa nataka niipeperushe vyema bendera ya Tanzania.
Naipenda sana nchi yangu na siko tayari kuidhalilisha kwa namna yoyote ile hasa katika nyanja ya papuching.
Itakua machozi jasho na...
Wanadrafi wenzangu ni kwa muda kidogo nazisikia hizi wanasema ooooh kuna kete tatu mpya, hivi zinategwa vipi? Tupeane hizo pattern kama unazijua. Ahsante
Wasalaam ndugu zangu. Baada ya kuingia chimbo la takriban miezi kadhaa nikifanya tafiti mbalimbali, ghafla nikajikuta navutiwa sana na utafiti juu ya hili jambo.
Ni jambo moja nyeti sana ambalo watu wengi hawajalitilia maanani, si wanaume wala wanawake. Kwa kifupi wote hawajagundua juu ya jambo...
Habari zenu waungwana. Poleni sana na mapambano dhidi ya COVID-19.
Baada ya kuzichakata sana nyuchi za hawa dada zetu wazuri wiki iliyopita nimepatwa na jambo ambalo baharia mimi sina uzoefu nalo. Kwa kifupi nimepagawa vikali hadi jana nikasimama mbele ya kioo na kujiangalia juu mpaka chini...
Huwa napenda sana baada ya kugonga msosi wa nguvu mchana mida ya saa saba, naingia chemba naulipua mjani wangu msumari mmoja tu mnene.
Nikishaumaliza muda huo huo napiga mswaki kisha naelekea kwa mshkaji wangu mmoja hivi kwake pana kamwendo hivi. Sasa na lile jua la mchana mixa na mjani dry...
Habari wadau,
Kama kuna ambae amekumbwa na tatizo kama langu nahitaji kujua amelitatuaje. Natumia yo WhatsApp lakini toka jana nikaambiwa niupdate new version, ile kuupdate new version nakuta system under maintainance nikatulia, sasa toka jana system under maintainance mpaka leo, sasa nakosa...
Habari wazee,
Nimechunguza kwa muda mrefu sana nikagundua kwamba hii kauli au msemo unaukweli kwa asilimia kubwa sana. Na sijajua ni kwanini hii kauli inatimia kwa urahisi sana kwa wenye nacho, wasionacho hupata kwa taabu sana na hata wakipata hakidumu na wanarudi tena kwenye msoto.
Angalia...
Kila nikijiuliza sipati jibu, juzi hapa nimekutana na ndugu yangu hatujaonana kitambo sana. Katika kupiga stori akaniambia kati ya sigara au bangi kuna kimoja unatumia. Nikamuuliza umejuaje? Akasema nimeona tu mdomo mweusi.
Sasa hawa wenzetu kina Bob Marley, Snoop Dogg, Wiz khalifa, Obama, Lil...
Za leo wadau!
Natumai jumaapili inakwenda swadakta kwenu wote.
Nianze moja kwa moja na hili swala lililonitokea wiki iliyopita.
Wiki iliyopita nilipanga safari ya kwenda kumtembelea mjomba wangu ambaye hatujaonana kwa muda mrefu kidogo, yapata takriban miaka kama mitano hivi. Nilipofika...
Kuna kipindi fulani nilisitisha maswala ya mapenzi kwa muda mrefu tu ili kupisha baadhi ya maswala yangu yaende sawia kama ninavyotaka.
Pia ilitokana na ushauri niliopewa na daktari wangu.
Kwa kipindi hicho nilichositisha haya maswala ya mapenzi hii kauli niliwahi kuambiwa na watu tofauti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.