Nguvu na uwezo alionao Malkia Elizabeth wa Uingereza...
1. Haitaji leseni ya gari, huendesha bila leseni
2. Husafiri bila passport nje ya nchi
3. Huwa anasherehekea siku ya kuzaliwa mara mbili, ile ya kweli 21 april na jumamosi ya jully
4. Ana mtunga mashairi wake maalumu.
5. Ana ATM...
Jana nimetoka kutafuta sukari uku kwetu kigamboni niliipata lakini baada ya kuzunguka maduka zaidi ya 20 na kwa Bei ya 2800 Tsh.. naomba tushirikishane kwenu ni shilingi ngapi?......
Kuna jambo moja watu wengi tunakosea tunapenda ushabiki wa mambo ambayo hayana ualisia kwa mfano Rais alitangaza kushusha mshahara wake mpaka ML9. Tulishangilia laikini cha kushangaza katiba ya JMT imeka wazi...........
"Masharti ya kazi ya Rais
Sheria ya 1984 Na.15 ib.9.
4. (2) Mshahara na...
JUMUIKO la vyama vinavyounda muungano wa kutetea katiba ya Wananchi (UKAWA), linatarajiwa kumtangaza mgombea wake urais jioni hii, jijini Dar es Salaam.
Taarifa kutoka ndani ya umoja huo zinasema, mgombea urais wa UKAWA aweza kupatikana leo, baada ya mashauriano ya kina yaliyofanyika baina ya...
Kwa mujibu wa Katiba ya ACT ZZK atakuwa na madaraka yafuatato
"Kazi za Kiongozi Mkuu wa ACT-Tanzania
i) Atakuwa kiongozi mkuu wa chama kwenye mikutano mikuu ya chama Taifa, mkutano mkuu, Halmashauri Kuu na Kamati Kuu.
ii) Atakuwa mkuu wa siasa, mshauri na mwelekezaji kwa viongozi wote na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.