Loh, kama kuna watu wana upeo mkubwa wa akili basi wewe ni namba wani. Unafikiri beyond, hongera kwa maelezo yaliyojaa herufi nyingi, hakika unasthiki kuombewa.
Utunzi huu ulikikuwa maalumu kwa kidato cha nne shule ya sekondari Mtombozi iliyoko mkoani Morogoro. nimejaribu kufuata nyayo za Mabala Richard, sina hakika kama nimeweza kufata nyayo zake, majaji ni wasomaji
Ushindi wa kwanza kuelekea katika UKOMBOZI WA KWELI, hoja zao za kulazimisha. na kituko cha Samweli Sitta kujigeuza tume, UNAFIKI WA MAKUNDI kupeleka maoni yao sasa, hatimaye umegeuka kuwa KUJIVUA NGUO MCHANA MBELE YA WATOTO.
CCM KICHEFUCHEFU CHEFUA
Wakati kukiwa na harakati za kuondoa matatizo yanayoikabili Tanzania kipo chama kinachofikiria kukuza propaganda. Wakati ndani ya miaka hamsini ya muungano wa Tanganyika na Zanzibari, ambao una kila aina ya kero na sintofahamu, na wakati muarobaini ukitafutwa...
Muwasilisha mada, wazazi wanakosa fedha za kununulia nguo ama sare?, iweje wapate za kununulia nguo za nyumbani wakose za kununulia sare? jaribu kutengeza hoja kamilifu idiyo kuwa na ombwe ndani yake. umesema
"wakulima wana matatizo ikiwemo bei ya mazao, mfano gharama 800 kwa uzalishaji wa kilo moja na serikali inapanga bei kwa kilo tsh 600, hivy badala ya maisha bora ya na kuwa umaskini maoni ya katiba mpya" maneno a Warioba bungeni sasa
NYANI MJENGONI
Salamu natanguliza, Bara nako visiwani
Mezani nako baraza, Salamu zikufikeni
Mwaloni na viambaza, Salamu ninakupeni
Nyani huko mjengoni, Hivi atafuta nini?
Hivi atafuta nini, Nyani huko mjengoni
Asiliye ni mwituni, Mjini katafutani
Anijaza tafarani, Nayo maswali kichwani
Nyani...
kwanza tuma hii taarifa katika jukwa la lugha, vilevile, tafuta hati miliki,au nenda kwa wachapishaji watakupa kila kitu. kumbuka kiwe kimehaririwa, umesema we ni mwanachuo, peleka katika kitengo cha lugha kihaririwe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.