Heri ya Pasaka,
Kuna Kazi zimetangazwa na IPA, nataka kuomba, ila wanataka candidate mwenye deep experience ya SurveyCTO.
Hii Survey CTO ni Nini, inadeal na nini?
Kama huna experience nayo unaweza jilipua na kuomba iyo kazi.
N.b nime-google ila sijaielewa ata.
Karibu
Wakuu karibu tujadili.
Sahivi Kuna sera mpya ya Elimu, na imepitishwa na serikali, na katika sera hiyo, Kuna mabadiliko kwenye eneo la walimu.
Katika sera mpya Ili ufundishe Sekondari ni lazima uwe na Degree/ Shahada.
Na Ili ufundishe shule ya msingi lazima upitie kidato Cha sita afu usome...
Wakuu hii imekaaje.
Mfano uko private sector una contract ya 1 year. Mshahara ni 500k.
Badae upate kazi ya mshahara wa 700k, na contract ni mwaka mmoja.
Je, ni halali kumkimbia mwajiri wako ukipata deal zuri?
N.b working environment ni almost the same katika hiyo kazi ya 500k na ya 700k...
Wakuu jamii forum naitegemea sana Kwa ushauri. Naombeni mawazo yenu.
Ni mwalimu private, muda wa kutoka kazini ni saa11 ndo nafika nyumbani. Mshahara hautoshi nataka kufanya part time job.
Tuition Kwa huo muda watoto kuwapata sijui kama ni rahisi maana utaishia kuwafundisha SoMo Moja...
Wakuu naomba anayelifahamu, vizuri hili shirika anieleze kidogo.
Maana naonaga kazi zao Ila nkitaka kuomba nasita maana NGO nyingi kazi zao ni za kujuana
Hi wakuu, siku hizi Kuna tabia ya walimu waliohitimu vyuo, kujitolea kwenye shule za serikali na kupata ujira mdogo
Vipi nataka nijilipue nine kujitolea kwenye international school, mwenye kujua changamoto kwenye izo shule anijuze,,,asa changamoto ya kupata chance kwenye izo shule
Hi wakuu, niliomba kazi shirika moja la wabeligiji, Sasa leo nimetumiwa email, kuwa inabidi niambatanishe CCCR, na form ya entry stuff, wameweka link mbili jinsi yakupata iyo certificate
Lakini Cha kushangaza hiyo tahasisi inayotoa iyo certificate Ni kuwa lazima ulipie,na hela Sina
Nawezaje...
Sijakosea kuleta huu Uzi kwenye jukwaa la mahusiano na si jukwaa la afya.
Mimi ni kijana 29yrs, nimekuwa kwenye mahusiano tofauti tofauti, na kitandani nilikuwa vizuri sana kitandani.
Mwaka 2020 nilipoteza kazi, nilipata mawazo makari Sana yaani makali, ilipelekea Hadi moyo wangu kutanuka kwa...
Hi niliomba kazi ya office attendant kwenye ilo shirika, aisee hawa watu kazi ndogo kama iyo, lakini application yake sio ya nchi hii.
Yaani unatumia like 2hrs kufanya application kupitia kwenye web yao.
Vipi washaita, watu wa usahili.
Na je wakoje Hawa watu, kwenye recruitment.
Hi wakuu, hivi ni kweli kwamba ukitaka kuajiriwa kwenye mashirika na makampuni ya kimataifa, lazima utatakiwa kuonyesha cheti Cha Covid-19?
Kama ni kweli, unaweza kukosa kazi kwenye hizo UN agencies, na mashirika na kampuni za kimataifa kisa huna cheti Cha chanjo ya Covid-19.
Karibu
Hope mko poa, nipo kwenye mahusiano na huyu binti since 2019.
Tumedumu kwa huo muda japo Kuna milima na mabonde tumepitia, but now tumekomaa, Mimi Ni Graduate Sina kazi, but nilifanya kazi kwa miaka miwili, mkataba ukaisha, now nafanya bihashara na mungu anasaidia Mambo yanaenda.
Huyu binti...
Naomba kuuliza ndugu zangu, ukisha fanya application na kumaliza, sehemu zote tunazo attach vyeti, unaweza ku-click attached PDF, ku-verify Kama vyeti ulivyo attach Ni sahihi .
Na je kitu icho hakiathiri maombi yako
Hii kitu ilijitokeza 2020, mfano mtu unaitwa John Mutalemwa Koku, umezaliwa, 7/9/1996, ukisave pale kwenye personal details. Jina linabadilika na kuwa John Mtalemwa (wameondoa U) Koku.
Kwenye tarehe itasomeka 7/8/1996, what is this folks
Nshasajiri account ya ajira, Tamisemi since 2020.
Hivi tuna-create upya account kwa kutumia Email au nida au tunatumia zilezile za nyuma
Na sehemu ya ku-create account mbona siioni
Hope mko poa. Miaka ya nyuma Kama 10yrs ago wakati wa utoto, nilipenda sana kucheza Mpira, nilipokuwa nakimbia Sana nilikuwa nasikia Kama Kuna kitu kinabana kwenye moyo afu kinaacha Basi nikawa nachukulia poa, kwa kua haikunizuia kufanya kazi zangu za kila siku.
Miaka ilienda nkawa Kama muda...
Mie ni kijana nilimaliza chuo ajira hamna. Basi nikaamua kujiajiri now nafanya biashara Mungu anasaidia.
Kutokana na shughuri zangu za Biashara nina mazoea na watu wengi, dada kwa Kaka, wamama kwa wa baba. Basi bana kuna mdada mmoja ni single maza anaishi peke yake, anafanya kazi za kawaida...
Kuuliza sio ujinga, hivi Tamisemi wanatumia kigezo kipi kuajiri walimu wenye sifa sawa, mfano
Juma alimaliza 2016, masomo: Chemistry na Biology, umri 28
Àlex alimaliza 2016,masomo Ni Chemistry na Biology,umri 28.
Unakuta wote hao hakuna mwenye connection lakini, anachukuliwa mmoja na mwingine...
Nyie kina dada acheni ujinga, kujidai na kujiona.
Unakutana na mdada unamuelewa unamuomba namba ya simu, bila iyana anakupa namba, uki-beep kweli simu yake inaita, kumaanisha amekupa namba ya ukweli.
Basi baadaye ukianza kumtext hajibu sms, wala hapokei call. Wadada wa kibongo acheni ujinga...
Je wewe ni Mwalimu wa masomo ya Science? Umeomba ajira Mara ngapi serikalini na ukakosa, je unayo matumaini ya kupata ajira.
Binafsi nimemaliza UDSM, 2018 teaching subjects zangu ni Chemistry na Biology.
Kwenye darasa letu ameajiriwa mtu mmoja tu, kwa mwaka wetu wameajiriwa walimu wa physics...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.