Watanzania zumbukuku kaeni mkao wa kushangilia wapigaji wanapokula hata kama hutapata hata senti yao moja toka pesa zenu za kodi mtakazotozwa kwa kushangilia kwenu.
ID fake za EFD za revenue collection kwa wadau wasio na maslahi kwa umma zimeingia tena vuup bila hodi ! Wataiona pesa inaingia...
domo la glasi(democracy) ya vyama vingi na uhuru wa vyombo vya habari kwa mipaka 10 ya utawala wake vilisaidiaje kuwatetea tembo waliopotea Tanzania na pembe hizo kuuzwa China?
Wachina walipoulizwa kwa nini mwatafuta ufahari wa kumaliza tembo kwa ufahari wa kupamba mahekalu na cutleries...
Write your reply...Kama kuna watanzania wanaenda Kenya au Uganda kununua gari kwa vile huko k
una unafuu wa kodi, tupate tarrifs za huko bila kujali kuna bandari au la tutakuwa tumepata mhimili wa kujadili huu uzi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.