Teh!teh!nakumbuka kuna jamaa alipinga mbong'oo na housegal,siku moja wakat jamaa anafua akiwa kainama housegal akamfyatua jamaa teke la matakon jamaa akadondoka kichwa kikazama kwenye povu..kesho yake jamaa akamlia timing housegal akiwa anapika huku kainama,jamaa nae akamfyatua teke,hausigal...
BARCA HAWABEBEKI,wamepewa vitu vyote wanavyotakiwa kupewa ili washinde bado kweupee..kweli nimeamini timu inayoweza kubebwa na ikabebeka ni man u pekee..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.