Hali inatisha kwa hiki kizazi chetu na kinachoendelea kwakweli hawa vijana wa chuo wanatoa mimba sana.
Naona kuna kila sababu ya kuhakikisha elimu inatolewa kwa vijana wa chuo kuanzia mwaka wa kwanza mpaka walio mwisho wa masomo (kuanzia cheti, diploma,degree).
Masters sitaki kuwaongelea sana...
Iran hana uwezo wa kumpiga marekani kivyovyote,zaidi ya kushambulia base za marekani zilizo mzunguka.
Lakini hio sio sababu ya yeye kusita kulipiza kisasi kwa sababu nyuma yake kuna nchi tatu muhimu zinazo mpa kiburi iran 1.urusi2. China. 3. North korea akiliamsha kaamsha hao watu.
Marekani...
Hamna kitu cha muhimu na msingi kama kujikubali kwa sababu ndio msingi wa wengine kukubali na kukuona wa thamani. Rangi nyeusi kabla na baada ya kristo ilidharaulika licha ya kupata watu mashuhuli wenye rangi nyeusi kama Ben carson, Martin luther,Nelson mandela,Mwl Nyerere n.k
Lakini toka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.