Search results

  1. M

    Kutoka Angola: Mwigulu atema Cheche

    Naibu Waziri wa Fedha ndg Mwigulu Nchemba Madelu amekonga nyonyo za washiriki wa mkutano uliofanyika Angola kuanzia tarehe 17-18 Dec 2014 mjini Luanda nchini Angola. Naibu Waziri huyo aliyekuwa akiitwa Nyerere enzi akiwa chuo kikuu kwa ajili ya uzalendo wake na kujali masikini ambaye kwa sasa...
  2. M

    Mwigulu Nchemba kufanya mikutano ndani ya jimbo la Karatu leo tarehe 11 Disemba, 2014

    asubuhi hii Mkutano wa hadhara wa Mwigulu unaoendelea Karatu mjini. Katibu wa CHADEMA wilaya ya karatu .Picha zaidi zinakujia. karatu ndio nyumbani kwa Dr slaaa
  3. M

    Star TV: Mkutano wa hadhara wa Mwigulu Nchemba, leo tarehe 6 Disemba, 2014

    Msumari umeingia penyewe naona Unaugulia
  4. M

    Star TV: Mkutano wa hadhara wa Mwigulu Nchemba, leo tarehe 6 Disemba, 2014

    Muda mwingine ni bora ufunge hiyi Biashara ya Mayai naona Wateja wamekata,Saaa unapoteza hasira zako hapa
  5. M

    Star TV: Mkutano wa hadhara wa Mwigulu Nchemba, leo tarehe 6 Disemba, 2014

    daahhh hadi Kaka Shardcore umemkubali Mwigulu.Wallah Mwigulu ni Mashine,Jina la Sokoine amepewa na Watanzania
  6. M

    Kikao cha dharula: Kitimoto kwa wabunge wa CCM wanaopigia kelele Escrow

    Naibu Waziri husimama kama Waziri kaka Waziri husika hayupo eneo husika.Hivyo kwenye kikao cha Baraza la Mawaziri wanaingia kama Mawaziri wa wizara husika hawapo
  7. M

    Kikao cha dharula: Kitimoto kwa wabunge wa CCM wanaopigia kelele Escrow

    Anaweza kuwa kadanganya kote huko,Lakini manaibu mawaziri huingia endapo Waziri husika hayupo.Huingia kama Muwakilishi.
  8. M

    Kikao cha dharula: Kitimoto kwa wabunge wa CCM wanaopigia kelele Escrow

    anaingia kama Waziri husika hayupo
  9. M

    Kikao cha dharula: Kitimoto kwa wabunge wa CCM wanaopigia kelele Escrow

    Anaweza kuwa Muongo,Lakini Deputy anaingia Baraza la Mawaziri kama waziri husija anaudhuru.Hiyo ndio Principle
  10. M

    Dodoma: Rais Kikwete aongea na Wazee wa Dodoma - Nov 4, 2014

    Rais Kikwete asisitiza tena vijana kuchukua nchi. Hakika Mwigulu Nchemba ndiye Rais 2015. Alisema wananchi wasasa watawakataa wazee. Alisema hivyo kwa kusema " nilipolisema hili Tabora wengine likawaudhi, lakini ukweli ni kwamba vijana wananguvu na hata mimi niligombea nikiwa na miaka 44 tu...
  11. M

    Salamu zangu za mwisho kwa Rais wangu,"umetuletea mkombozi huyu hapa"

    Na Angela Kiwia NIMEKUWA na utaratibu wa kumuandikia Rais wangu barua- na salamu ambazo huandikwa kupitia ukurasa huu.Nimekuwa nikitumia utaratibu huu kutokana na kutopata fursa ya kumkaribia na kuonana naye uso kwa macho.Hivyo basi kutokana na fursa niliyonayo kupitia Kurunzi nimekuwa...
  12. M

    Mwigulu Ni Kiongozi Anayesadifu Fikra za Nyerere

    anaweza kuwa...kama alivyo NKM sasa
  13. M

    Mwigulu Ni Kiongozi Anayesadifu Fikra za Nyerere

    anaweza kuwa Presidennt
  14. M

    Sumaye: Rais ajaye ajue Uchumi

    Ndiye msomi pekee na Mchumi Daraja la Kwanza trna Kijana mwenye PHD(anamalizia Pale UDSM). Mwigulu Rais wangu
  15. M

    Nani anafaa kuwa rais wa Tanzania 2015?

    hahahha inaingia Moyoni na kwa wapenda maendeleo tu
  16. M

    Tunalo la Kujifunza Kutoka kwa Mwigulu Nchemba

    Mnajitahidi Kubatiza dhambi zenu kwa Watakatifu wa Bwana kama Mwigulu
Back
Top Bottom