Kama alivyoeleza mkubwa hapo juu kuwa kuna maeneo 9 muhimu ya kuyashughulikia nami nataka niongezee hapo hapo kuwa, kwa kuwa makini na unachokifanya mafanikio lazima yataonekana. Wakati unaendelea kuyachombeza hayo maeneo means limoja baada ya lingine jaribu kumwita kwa saut ya chini huku...
We kama mada haikuhusu acha na chagua mada unayoona unapendezewa nayo then uichangie sio kuleta kashfa zako hapa. Ukubwa sio ndevu ni ufahamu wa mambo.
Huwa tunasema kadri tairi la gari linavyotumika sana ndivyo linavyozidi kuchakaa. Pia mtoto umleavyo ndivyo akuavyo. Katika sentensi hizi mbili lazima moja inaukweli juu ya tatizo hilo.
Sababu zaweza kuwa kati ya hizi. Vijana wanataka hela kwa mijimama na mijimama inapenda damu changa kwa kuwa eidha ni wajane au ni nyumba ndogo kama sivyo basi waume zao watakuwa bize sana na kazi. So kushiriki kwao katika tendo la ndoa inakuwa mara chache sana. Kingine unakuta mama huyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.