Hello JF
Nmepata kazi sasa mbili moja International NGO Mshahara zaidi ya Millioni moja na nusuu,lakini mkataba ni mfupi na serikalini kama afisa maendeleo ya jamii kwenye chuo fulani cha maendeleo mshahara laki sita na kidogo tu nifanyaje......nakaribisha msaada wenu wa kimawazoo.......
leo ni siku ya tano baada ya ovulation yangu,nilifanya unprotected sex lakini kama siku 1 au mbili zilizo pita matiti yangu yanauma uma kama vile nataka kubleed,ila tarehe zangu za mp ni kuanzia tarehe 29 mwezi huu cjui sasa hii nini naombeni msaada wa kimawazo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.