Msaada wakuu
Gari inapiga alarm kama kuna mlango uko wazi. Ila milango yote imefungwa. Nikiiwasha kwenye dash body inaonesha mlango uko wazi. Nikiwasha taa hiyo alama kwenye dashboard inatoka.
Imagine nikiwa mdogo nliambiwa ETI Range rover haziruhusiwi kupaki benki, kwa sababu eti zina speed kali kwa hiyo zikitumiwa na majambazi kupora, polisi hawawezi kuzifukuzia wakazipata.
Halafu pia eti, Range rover huwa hazipinduki, eti kwa sababu tairi zake huwa zinatanuka gari ikitaka...
Kama mtanzania mpiga kura nilitamani kuwaona hawa wakali wakitia NIA na kuchukua fomu na hatimaye kuongoza mashambulizi ya ushindi ya chama chetu.
1. William J. Malecela - Le-Mutuz
Huyu ni super brand, angetia nia na kupitishwa angeshinda popote ndani ya ardhi ya Tanganyika. Baadaye...
Mpaka ninapoandika uzi huu, kama sio lockdown ya corona, huko Misri kuna watoto wangekuwa darasani kwenye somo la historia wanajifunza habari za Mwebrania aliyeitwa Yusufu.
Huyu ndo yule jamaa aliokoa Taifa lao na lake yasiangamizwe na njaa baada yakumpa ufunuo wa ndoto ya njaa kali aliyoota...
Binafsi huwa nazikumbuka sana
- Ngawira zangu nilizolipia gym wakati ningeweza kupiga zangu push ups home na jogging nikachoma calories kama kawaida, na
- Zile nilizolipa car wash kuosha kamkweche kangu wakati ningeweza kukapiga maji mwenyewe home alone kakang'aa kama kawaida
Wewe je!
Wakuu heshima nyingi ziwafikie
Naomba kujuzwa uhusiano wa kiasi cha mafuta unachoweka kwenye gari na matumizi yake. Zipo habari kwamba ukiweka mafuta mengi kwenye tenki la gari yako (mfano full tank), yanadumu muda mrefu kuliko ukiwa unaweka kidogo kidogo (vibaba). Ikoje hii technically...
Habarini wakuu
Poleni na taharuki ya COVID-19
Nmeangalia hii tamthilia ya MONEY HEIST (LA CASA DE PAPEL) kama wengi wenu mlivyofanya kipindi hiki cha karantini. Kati ya vitu nlivyogundua ni kwamba mabeberu wako siriaz na agenda zao.
Hebu fikiria USHOGA na USAGAJI unavyokuwa displayed kwenye...
Amani iwe kwenu wakuu!
Jana tar. 13 sept. kwenye gazeti la Mwananchi la mtandaoni kulikuwa na habari yenye kichwa kilichosomeka "WAITARA ADAI AMEKATAA KUWA KENGE CHADEMA"
Mwananchi ilimnukuu mgombea ubunge wa CCM jimboni Ukonga akisema "Mbowe jimboni kwake Hai kuna umeme hadi migombani, Mbeya...
Hiki ni kisa cha kweli kilichotokea kwenye familia yetu miaka 18 iliyopita.
Ilikuwa mwaka 2000, wakati huo nikiwa na miaka 12. Familia yetu ilikuwa inaishi huko Tarime vijijini kwenye eneo (plot) ambayo haikuwa yetu ila ya jirani yetu ambaye tulikuwa tunaishi naye kama majirani japo kulikuwa na...
Meneja wa kampeni wa mgombea wa CCM Julius Kalanga katika uchaguzi wa marudio katika jimbo la Monduli mbunge wa Ngorongoro na naibu waziri wa Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, William Ole Nasha amesema wana Monduli wamepata nafasi ya kufanya masahihisho baada ya kufelimtihani mwaka 2015...
Salaam wakuu
Ni takribani mwaka sasa umepita tangu Askofu mkuu wa makanisa ya Ufufuo na uzima Dr. Josephat Gwajima alipotangaza kumfuta kwenye ulingo wa kisiasa kwa sababu ya kumdhalilisha yeye kama mtumishi wa Mungu kwa kumhusisha na kashfa ya madawa ya kulevya. Kama kumbukumbu zangu ziko...
Salaam wakuu
Natambua kabisa kuwa JF iko na utajiri wa wajuvi wa mambo katika kada zote za maisha. Kijana wenu naomba kujuzwa haya machache yanayonitatiza kuhusu muundo wa serikali ya Iran.
Mosi, natambua kuwa Iran ni jamhuri ya Kiislamu, je kiongozi wa kidini wa Iran ana mamlaka kuliko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.