Usingemalizia kama Mataga wengine na magu 5 tena, ningetafuta point kwenye ulichoandika. Ila mimi ni mkristo na nitampigia Lissu kura. Hao diaspora unaowasema hawapigi kura.
Msaada wakuu
Gari inapiga alarm kama kuna mlango uko wazi. Ila milango yote imefungwa. Nikiiwasha kwenye dash body inaonesha mlango uko wazi. Nikiwasha taa hiyo alama kwenye dashboard inatoka.
Msaada wakuu
Gari inapiga alarm kama kuna mlango uko wazi. Ila milango yote imefungwa. Nikiiwasha kwenye dash body inaonesha mlango uko wazi. Nikiwasha taa hiyo alama kwenye dashboard inatoka
Wengine tulimjua Mandela kwa sababu alifungwa jela na makaburu. Kuna ubaya TL akieleza ukaburu aliofanyiwa na watu wasiojulikana?
Binafsi natamani hata kwenye bango la kampeni kuwe na alama za majeraha ya risasi... na picha ya watu wasiojulikana
Wangemkata Lissu nlikuwa nimeshajiandaa kuandamana. Ningeanzia kule juu kabisa kwenye jukwaa la siasa mpaka nipite Chit Chat, nipite MMU, mpaka chini kabisa kule kwenye complaints appreciation and advice
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.